Uchaguzi 2020 Maoni yangu ni kwamba CCM wakishinda uchaguzi mwaka 2020 na Dr. Tulia akashinda ubunge kule Mbeya, basi atakuwa Spika badala ya Ndugai

Uchaguzi 2020 Maoni yangu ni kwamba CCM wakishinda uchaguzi mwaka 2020 na Dr. Tulia akashinda ubunge kule Mbeya, basi atakuwa Spika badala ya Ndugai

Synthesizer

Platinum Member
Joined
Feb 15, 2010
Posts
12,699
Reaction score
22,598
Nimekuwa nikitafakari juu ya siasa za uchaguzi wa 2020. Kwa maoni yangu, ikiwa CCM watashinda viti vingi vya ubunge, na Dr. Tulia Ackson akashinda ubunge kule Mbeya, basi atakuwa ndio Spika badala ya Ndugai. Hilo Ndugai anapaswa kuliona wazi na kulielewa. Huenda likamsaidia katika kuwa fair kwa watu wote Bungeni kwa sasa, ili asije akajikuta mpweke wakati sio Spika tena. Mpanda juu hushuka.
 
Nimekuwa nikitafakari juu ya siasa za uchaguzi wa 2020. Kwa maoni yangu, ikiwa CCM watashinda viti vingi vya ubunge, na Dr. Tulia Ackson akashinda ubunge kule Mbeya, basi atakuwa ndio Spika badala ya Ndugai. Hilo Ndugai anapaswa kuliona wazi na kulielewa. Huenda likamsaidia katika kuwa fair kwa watu wote Bungeni kwa sasa, ili asije akajikuta mpweke wakati sio Spika tena. Mpanda juu hushuka.
Kushinda ni vigumu sema wakichukua mamlaka au Dola kwanamna yao wanao jua wenyewe vzr.......

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nimekuwa nikitafakari juu ya siasa za uchaguzi wa 2020. Kwa maoni yangu, ikiwa CCM watashinda viti vingi vya ubunge, na Dr. Tulia Ackson akashinda ubunge kule Mbeya, basi atakuwa ndio Spika badala ya Ndugai. Hilo Ndugai anapaswa kuliona wazi na kulielewa. Huenda likamsaidia katika kuwa fair kwa watu wote Bungeni kwa sasa, ili asije akajikuta mpweke wakati sio Spika tena. Mpanda juu hushuka.
Ndugai anaweza asijali sanankwa sababu hata ubunge hataweza kupewa tena 2020. Kwa hiyo atakuwa nje ya bunge
 
Back
Top Bottom