Maoni yangu: TFF chunguzeni mechi ya Simba na Kagera

wake wanalalamika kuongezewa make mweza. Wanataka wabaki wao tu wafaidi Mme!

Ingieni mchezeshe. Kama mmepata uchungu nendeni Muhimbili wodi ya wazazi mkazalishwe.

Hawakawii kushtakia kwa invisible eti wametukanwa hao. Mateja yetu haya yanapenda kesi sana kuliko kucheza soka la uwanjani.
 
Kaka si kila mahamuzi ni penalty kumbuka mechi ya man u na Madrid nani alipewa kadi nyekundu ambayo haikuwa sahihi
 
Hiv nduguzangu nyie bado mnaangalia mpira vumbi huu wa bongo?mtakufa na presur wakuu

Soka la Bongo limejaa Uchawi mtupu.!
Watu wana sujudia Uchawi utafikiri nini sijui.....!

Angalia hata leo eti hawajaingia katika vyumba vya wachezaji. Eti wakiamini kuna Uchawi katika vyumba hivyo..!

Hii hali(inayofanywa na timu fulani) inaaibisha soka letu.

Sipati picha hao foreigners waliosajiliwa pale wanaichukuliaje ligi yetu....!
 
Ningekuona unatenda haki endapo ungesema chochote kuhusiana na faulo aliyochezewa Ibrahim Twaha. Ile penati waliyopata Simba ni halali kabisa, hebu niambie mpira ungefikaje mikononi mwa mchezaji aliyekuwa amepiga magoti, hivi normal position ya mikono kwa mtu aliyepiga magoti ni juu? Kama yule mchezaji angekuwa hajakusudia kuzuia mpira mikono isingekuwa juu.

Ile ya Isihaka kwa position aliyokuwepo mwamuzi sio rahisi kuona lakini pia hata picha za marudio za video hazionyeshi kwa sababu kamaera iliyokuwa karibu ilikuwa nyuma ya Isihaka hata refa msaidizi naye alikuwa nyuma ya yule mchezaji wa Kagera kwa hiyo wasingeweza kutoa maamuzi ya penati kwa kutumia wachezaji wa Kagera eti tu kwa sababu walinyosha mikono.

Pia kulikuwa na faulo zingine mbili mbaya sana walichezewa wachezaji wa Simba, moja alifanyiwa Okwi kwa kurukiwa na nyingine pia alifanyiwa Singano kwa staili ile ile lakini mwamuzi hakutoa hata kadi, kama unataka kuwa mtu wa haki kama unavyotaka tukuone basi ungeongelea na hayo matukio.
 
Masuke;

Kiongozi huo ni Uoga wa yanga na wapenzi wake sisi tupo nafasi ya tatu na point zetu 35 tuna michezo mingi kuliko wao bado wanatuogopa.

Kuna kitu huwa kinanishangaza sana kutoka kwa wapenzi wa yanga,tunaweza fungwa simba mechi hata 3 tukakaa kimya tu na timu yetu, ila wao wakipoteza mechi moja tu utasikia wamehujumiwa mara simba katia mkono mechi yetu,mara mzee akilimali kaja na lake basi vurugu tu mtindo mmoja,

mechi ya jana simba ilistahili ushindi tangu awal ndio tulicheza mpira mwingi,tulimiliki mila idara,tulikosa magol mengi, tulipewa penat ya ukwel kabisa sasa hayo mengine yanakuja cos ya uoga tu hebu tulieni sisi hatuna madhara na nyinyi but mwisho wa ligi ndio tutajua
 
Last edited by a moderator:
tff wameshimdwa kupambanua sheria ya kadi ya njano watamchunguza refa hawana ubavu huo
 

Kelvin Yondani kumpiga kiwiko kwa makusudi striker Wa Mgambo
 
DemiGod;

We kweli hufuatilii michezo, Simon Msuva alipochukua gloves za Said Mohammed alikuwa anaichezea Simba, Maximo alipolazimisha kupitia mlango ambao huwa haupitiwi pale Shy ikapelekea kupingwa mangumi na aliyekuwa amekaa pale ambaye ni Mkurugenzi Wa manispaa ya Shy ulizipata!

Shabiki aliyechukua gloves kule Zanzibar alikuwa Wa Simba? Kwa nini walifanya hivyo?
 
Last edited by a moderator:
Kelvin Yondani kumpiga kiwiko kwa makusudi striker Wa Mgambo
Na ndio maana sisi wenzako tunailalamikia tff kwa uzembe kama huo, kelvin yondan na yule refa wa jana wote wawajibishwe.
 
Hawa jamaa wanna wivu sana vingine hawaongei wanaongelea ya Simba tu kweli Migongo wazi! Mzoea kutwaa kutoa ni vita
 
Wewe inaelekea unaichukia tu Simba. Sijui kama uliuangalia ule mchezo?! Sisi tulioangalia runinga tuliona wazi (hasa kwenye replay) beki wa Kagera Sugar aliunawa mpira, na adhabu yake ni penalty! Kwenye replay pia tuliona kuwa Hassan Isihaka hakunawa, ingawa kwenye action ilionekana kama amenawa ndio maana wachezaji wa Kagera Sugar walinyanyua mikono juu. Mchezo ule utaoneshwa tena kwenye Azam TV leo usiku, angalia vizuri na ukome kumpakazia mwamuzi.
 
Kiukweli Mimi sishabikii sana mpira wa bongo ila Jana nimeshangazwa na mambo mengi sana, kwanza wachezaji wa bongo hawana nidhamu mfano mechi hiyo sa Jana wachezaji wa simba wanacheza faulo alafu wanawazonga zongo wachezaji wa kagera bila sababu za msingi na mwamuzi anasukumwa hata hafanyi lolote! Kulikuwa na mlolongo wa wachezaj wa simba kucheza rafu za kijinga na kupoteza muda bila maamuzi ya maana, yaani kwa kifupi Tanzania hakutakuwa na maendeleo yoyote ya kisoka kwa mwenendo ule yaani ni aibu kubwa sana kuangalia maamuzi ya mwamuz mechi ya jana
 

uishie huko bush na ulawyer wako make wee umeona jinsi Simba walivyofanya faulo hukuona walivyofanyiwa, mfano Okwinho alivyopigwa teke LA tumboni hukuona wewe na refa wako! Nashauri ulawyer uishie huko bush
 

Kaka umenena sana.Ttz letu ni kupenda kuzungumzia yale yanayotokea upande wa pili hasa yale mabaya kwa manufaa ya upande wa kwanza.Mechi ya Yanga na Kagera ina manung'uniko lakini Yanga fans hawasemi.Hili ni tatizo.
 
Masuke;

Good observation.Mwamuzi wa jana hakupendelea Simba bali uwezo wake ni mdogo katika kuendana na kasi ya mchezo na pia kufanya maamuzi sahihi.
 
Last edited by a moderator:

Kaka umenena sana.Ttz letu ni kupenda kuzungumzia yale yanayotokea upande wa pili hasa yale mabaya kwa manufaa ya upande wa kwanza.Mechi ya Yanga na Kagera ina manung'uniko lakini Yanga fans hawasemi.Hili ni tatizo.
 
uishie huko bush na ulawyer wako make wee umeona jinsi Simba walivyofanya faulo hukuona walivyofanyiwa, mfano Okwinho alivyopigwa teke LA tumboni hukuona wewe na refa wako! Nashauri ulawyer uishie huko bush


Yaani naona aibu hata kukujibu, sasa ndio umeandika nini hapa we mpuuzi. unatoa povu badala ya kujenga hoja. hakutakuwa na maendeleo ya soka kwa style hii ya mechi za ligi kuu kuwa kama za mchangani, ni aibu sana
 
Yaani naona aibu hata kukujibu, sasa ndio umeandika nini hapa we mpuuzi. unatoa povu badala ya kujenga hoja. hakutakuwa na maendeleo ya soka kwa style hii ya mechi za ligi kuu kuwa kama za mchangani, ni aibu sana

mi nimeshangaa kasema teke la tumbon,sina hakika kama mpira aliangalia huyu.mkuu asikuumize kichwa
 

lazima achunguzwe,tff achen kulala lala ovyo chunguzen hii mechi mechi kwa umakin sana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…