Kama heading ilivyo naomba uongozi wa TFF na wadau wote wa soka wachunguze mechi ya Simba na Kagera iliyopigwa Shinyanga.
Binafsi nimechukizwa na mwamuzi wa mchezo huo kwa kuonesha upendeleo wa wazi kwa timu ya Simba, mfano ile penati ambayo mpira ulifuata mkono na hakukua na kusudio lolote la beki
Tukiacha hilo goli la refa dakika za mwishoni kama sikosei Isihaka alichukua mpira kwa mikono zaidi ya ile ya beki wa Kagera refarii akaacha.
Kiukweli haya ndio mambo yanayorudisha nyuma soka letu, huyu refa anastahili adhabu kali sana.
wachezaji wa Coastal hawampendi julio, wamefanya makusudi baada ya kocha wao mkenya kuondoka sababu ya julio
Yanga hana uwezo wa kumfunga Coastal 8, pale kocha hatakiwi tu.
tutolee ujinga wako, wanyang'anye pointi basi! Huna hoja za msingi umbea tu! Isiaka mikono ilikuwa mbele kabisa na mpira ulikuwa kwenye miguu kabisa na aligeuka kwa kutambaa huku mpira ukiwa kwenye miguu!
Jitu zima hovyo!
tutolee ujinga wako, wanyang'anye pointi basi! Huna hoja za msingi umbea tu! Isiaka mikono ilikuwa mbele kabisa na mpira ulikuwa kwenye miguu kabisa na aligeuka kwa kutambaa huku mpira ukiwa kwenye miguu!
Jitu zima hovyo!