MAONI YENU

komora096

JF-Expert Member
Joined
Sep 26, 2018
Posts
20,548
Reaction score
5,647
Nashukuru sana kw ushauri mlionipa..na pia tumejifunza mengi ..mtu kuweka kitu katika mzigo bila ya kukiweka kw list ni hatari..unaweza ukajiletea shida...bro ilkua anataka kuletea watu shida tu...
 

Attachments

  • 20190917_124747.jpeg
    73.7 KB · Views: 21
Hawa jamaa kiukwel wanazengua kinoma...elfu ishirini ya certificate kwel,
Halafu hyo kampuni katumanisha yeye mkuu..kafanya kutoa taarifa tu baada ameshatuma kila kitu...

Jamaa wanataka hela tu
Next time use ebay, alibaba, aliexpess, amazon, DHL, PayPal stuff
 
Baba sepa unajua adhabu ya money laundering? Money laundering na terrorism r intertwined!
 
Hapo watakuwa wamependa huo mzigo uliotumiwa [emoji23][emoji23][emoji23] wanataka uogope ili wauchukue kiulaini.
 
Money laundering noma mkuu...
Lkn mzigo umeshakua cleared..kuna msela nairobi alienda ku deal nao hv jioni..ndio katoa taarifa hta si kitambo wakati nimeshafungua uzi tayari...
Yeye nmteja wao...so sijui walimalizanaje..lkn lazima nae ale yake + interest..
Baba sepa unajua adhabu ya money laundering? Money laundering na terrorism r intertwined!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Huu uzi ufungwe sasa....
Moderator.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…