Maono: Kwanini Diamondplatnumz alimsaliti Zarithebosslady.

Maono: Kwanini Diamondplatnumz alimsaliti Zarithebosslady.

Salaam wana jamvi!

Baada ya kujiuliza maswali kadhaa nimeamua kuandika huu uzi ili wale wanaowaza kama mimi tuweze kutafakari kwa pamoja na kwa kina zaidi.

Nionavyo mimi suala la Diamond kumcheat Zari halikuwa la bahati mbaya au kupitiwa na shetani kama mwenyewe anavyodai bali ilikuwa ni mpango wa makusudi kabisa,hata ukivuta kumbukumbu vyema kipindi cha nyuma kuliwahi kutokea ishu ya zari kukuta pete chumbani kwa diamond,lakini pia hapo nyuma ilivuma kidogo ishu ya mondi kutoka na mobeto baada ya muda kidogo tukamuona mobeto ametokea kwenye kichupa cha Salome

Hizi zinaweza kuwa ni sababu kwanini diamond kamcheat zari:

1)Huwenda Zari ndie aliyeanza kumsaliti diamond hapo kabla na huku dai akijua kabisa kama anasalitiwa lakini alikuwa anakausha tu,sasa ili kulipiza kisasi baada ya kumfika ya shingo ndo akaamua na yeye kucheat na mobeto.

2)Wasiwasi au ukweli juu ya wa watoto wake hasa Nillan...kumekuwa na sintofahamu juu ya baba halali wa watoto wa daimond aliozaa nao na zari hasa huyu wa kiume Nillan(hata mimi nna mashaka bado). Huyu nillan amekuwa akizua utata mkubwa sana maana amemsadifu sana marehemu Ivan kuliko diamond,tiffa at least anaelekea kuwa ni wa diamond. Sasa, pengine diamond mwenyewe anaujua ukweli wa hayo yote na ndio maana na yeye akaamua kujiripua kwa hamisa kama mbwai na iwe mbwai...maana anajua kuwa zari hawezi kumfanya kitu kwa kuwa yeye mwenyw zari tayari alishalianzisha kabla yake.

3)Pressure kutoka kwa ndugu wa karibu hasa huyu esma na mama diamond,hawa watu siwaamini saaana maana wana sura mbili mbili...huwenda wao ndo waliousuka mchezo mzima ikiwemo kumkuwadia diamond kwa mobeto,hence usaliti...

Hayo ndo niyaonayo mimi...ila kwa jicho langu la tatu hiyo sababu nam. 1 ndio strong sana,huwenda Zari ndie aliyeanza kucheat hlf diamond akafuatia,maana najiuliza huo ujasiri wa kumuingiza mobeto mpaka geto analolala na zari kautoa wapi na hasa ukizingatia jinsi walivyokuwa wanaishi na zari...na hapa ndio unaweza kuunga picha siku ile diamond aliporopoka "ndo maana naishia kuwagonga na kusepa" hii ni baada ya kuona picha ya zari akiwa kweny swimming pool akiwa ameshikwa tako na njemba mwengine,japo zari alikuja kuitolea maelezo ile picha baadae!

Ila tuwape muda chanzo cha haya yoote ukweli utajulikana tu ipo siku, mmoja wapo ataanza kufunguka kwa kutoa za chini ya kapet kabisa juu ya nini kilikuwa kinaendelea katika uhusiano wao ambapo mashabiki tulikuwa hatujui au tunahisi tu lakini hatuna uhakika.

Mark my post!
duuh mi napita tu.
 
Hii picha ukiiona huyu diamond hamtaki zari kamtafutia kila aina ya visa hivi kweli unaeita mtu anakupenda halafu anaingiza mwanamke ndani bado anasema kwenye media kuwa kalala
Na mwanae zari ni king’ang’anizi waapenzi wako waliokuwa wanatete eti asikubali
 
Namba tatu ndiyo.. mengine sio kabisa.. na ni mengi vituko juu ya vituko live

Waliosababisha ni Mzazi aliyeanza kwa kuandika juu ya uzalendo kwanza.. uzungu alikuwa hajauozoea.. sasa hivi limewashuka walipomsukumia mchepuko/michepuko huku naye akipenda tabia hizo kwa kupenda sketi..huyo aliyemzalia kawanyoosha hawana hamu nae eeeeeeh hawakujua yeye anataka pesa tu na kujipaisha(kaumbuka vibaya mno) na akawapata ila ndio hivyo hakuna linalojificha chink ya jua.. yake yametokeza mapemaaa

Kuna kitu sielewi kwanini diamond hajali afya yake kutembea bila mipira.. haswa kwa mwanamke mwenye historia kama ya huyo mchepuko aliyezaa nae.

Ila kila jambo lina tukio la kumbadilisha mtu.. natumaini Diamond atabadilika sasa.
 
Namba tatu ndiyo.. mengine sio kabisa.. na ni mengi vituko juu ya vituko live

Waliosababisha ni Mzazi aliyeanza kwa kuandika juu ya uzalendo kwanza.. uzungu alikuwa hajauozoea.. sasa hivi limewashuka walipomsukumia mchepuko/michepuko huku naye akipenda tabia hizo kwa kupenda sketi..huyo aliyemzalia kawanyoosha hawana hamu nae eeeeeeh hawakujua yeye anataka pesa tu na kujipaisha(kaumbuka vibaya mno) na akawapata ila ndio hivyo hakuna linalojificha chink ya jua.. yake yametokeza mapemaaa

Kuna kitu sielewi kwanini diamond hajali afya yake kutembea bila mipira.. haswa kwa mwanamke mwenye historia kama ya huyo mchepuko aliyezaa nae.

Ila kila jambo lina tukio la kumbadilisha mtu.. natumaini Diamond atabadilika sasa.
HIV/AIDS inapimwa ndani ya dakika kumi majibu yashatoka so anajua anachokifanya
 
Jamani si mumuache kwani ye ndo wa kwanza hivi nani atavumilia tuwe wakweli mume tz mke south Africa ?!!

Mbona kawaida na atacheat tena na tena
 
Namba tatu ndiyo.. mengine sio kabisa.. na ni mengi vituko juu ya vituko live

Waliosababisha ni Mzazi aliyeanza kwa kuandika juu ya uzalendo kwanza.. uzungu alikuwa hajauozoea.. sasa hivi limewashuka walipomsukumia mchepuko/michepuko huku naye akipenda tabia hizo kwa kupenda sketi..huyo aliyemzalia kawanyoosha hawana hamu nae eeeeeeh hawakujua yeye anataka pesa tu na kujipaisha(kaumbuka vibaya mno) na akawapata ila ndio hivyo hakuna linalojificha chink ya jua.. yake yametokeza mapemaaa

Kuna kitu sielewi kwanini diamond hajali afya yake kutembea bila mipira.. haswa kwa mwanamke mwenye historia kama ya huyo mchepuko aliyezaa nae.

Ila kila jambo lina tukio la kumbadilisha mtu.. natumaini Diamond atabadilika sasa.
inawezekana kabisa unayoyasema,yaani hicho kilichotokea lazima kwa mtizamo wangu kinaangukia moja kati ya hizo sababu hapo juu!
 
Salaam wana jamvi!

Baada ya kujiuliza maswali kadhaa nimeamua kuandika huu uzi ili wale wanaowaza kama mimi tuweze kutafakari kwa pamoja na kwa kina zaidi.

Nionavyo mimi suala la Diamond kumcheat Zari halikuwa la bahati mbaya au kupitiwa na shetani kama mwenyewe anavyodai bali ilikuwa ni mpango wa makusudi kabisa,hata ukivuta kumbukumbu vyema kipindi cha nyuma kuliwahi kutokea ishu ya zari kukuta pete chumbani kwa diamond,lakini pia hapo nyuma ilivuma kidogo ishu ya mondi kutoka na mobeto baada ya muda kidogo tukamuona mobeto ametokea kwenye kichupa cha Salome

Hizi zinaweza kuwa ni sababu kwanini diamond kamcheat zari:

1)Huwenda Zari ndie aliyeanza kumsaliti diamond hapo kabla na huku dai akijua kabisa kama anasalitiwa lakini alikuwa anakausha tu,sasa ili kulipiza kisasi baada ya kumfika ya shingo ndo akaamua na yeye kucheat na mobeto.

2)Wasiwasi au ukweli juu ya wa watoto wake hasa Nillan...kumekuwa na sintofahamu juu ya baba halali wa watoto wa daimond aliozaa nao na zari hasa huyu wa kiume Nillan(hata mimi nna mashaka bado). Huyu nillan amekuwa akizua utata mkubwa sana maana amemsadifu sana marehemu Ivan kuliko diamond,tiffa at least anaelekea kuwa ni wa diamond. Sasa, pengine diamond mwenyewe anaujua ukweli wa hayo yote na ndio maana na yeye akaamua kujiripua kwa hamisa kama mbwai na iwe mbwai...maana anajua kuwa zari hawezi kumfanya kitu kwa kuwa yeye mwenyw zari tayari alishalianzisha kabla yake.

3)Pressure kutoka kwa ndugu wa karibu hasa huyu esma na mama diamond,hawa watu siwaamini saaana maana wana sura mbili mbili...huwenda wao ndo waliousuka mchezo mzima ikiwemo kumkuwadia diamond kwa mobeto,hence usaliti...

Hayo ndo niyaonayo mimi...ila kwa jicho langu la tatu hiyo sababu nam. 1 ndio strong sana,huwenda Zari ndie aliyeanza kucheat hlf diamond akafuatia,maana najiuliza huo ujasiri wa kumuingiza mobeto mpaka geto analolala na zari kautoa wapi na hasa ukizingatia jinsi walivyokuwa wanaishi na zari...na hapa ndio unaweza kuunga picha siku ile diamond aliporopoka "ndo maana naishia kuwagonga na kusepa" hii ni baada ya kuona picha ya zari akiwa kweny swimming pool akiwa ameshikwa tako na njemba mwengine,japo zari alikuja kuitolea maelezo ile picha baadae!

Ila tuwape muda chanzo cha haya yoote ukweli utajulikana tu ipo siku, mmoja wapo ataanza kufunguka kwa kutoa za chini ya kapet kabisa juu ya nini kilikuwa kinaendelea katika uhusiano wao ambapo mashabiki tulikuwa hatujui au tunahisi tu lakini hatuna uhakika.

Mark my post!

HAKUMSALITI ..YULE MABETO NI MSWAHILI ALIPOPEWA nafasi ya Kuimba naye nyimbo sijui Salome akaitumia nafasi hio kujisukuma kwa Dai na hata kumroga ili aisijitambue.
kutoka na uchawi kuwa mwingi Dai alikua hajui anafanya nini akajiona mpaka ana mkaribisha chumbani kwake...
huyu mwanamke akmganda sana na aliamua kumpa papa bila ya condom makusudi ...Dia hakujielewa mpaka familia nayo ilirogwa ... lakini mama Dai nae mswahili akateegua kibano kile .
kuanzia hapo ndio huyo kidampa akaanza vituko kwenye mitandao kuji dhalilisha , kukata viuno na kuanza kumtukana na kumkejeli Zari

Zari anaelewa yote ndio maana akamsamehe Dai
wanawake haw Kiswahili mkorogo kaa nao mbali...akijisogeza kwako kama unazo hela jichunge
 
Kwani chibu na boss wana watoto wangapi? 1 au 2
 
Back
Top Bottom