Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Unasemaa..?Nimepata maono ya ajabu sana ya kimungu kuhusu Mh Mbowe.
Nimeotehswa Mbowe kavaa jezi namba 17 sijajua maana yake kwa undani lakini nimeona ni share hapa
Anaenda kuchukua nafasi ya chama pale Yanga.Nimepata maono ya ajabu sana ya kimungu kuhusu Mh Mbowe.
Nimeotehswa Mbowe kavaa jezi namba 17 sijajua maana yake kwa undani lakini nimeona ni share hapa
Leta sadaka ya kujimaliza madhabahuni nikutokee hilo pepo
Ati sadaka ya kujimaliza.Leta sadaka ya kujimaliza madhabahuni nikutokee hilo pepo
Naona Kuna pepo litamjia mtoa mada na mapanga 17 na kumkata vipande 17Ati sadaka ya kujimaliza.
Duh unatabiri kama nabii Inyaki Nyakia mwenye kanisa lake pale mpakani mwenge.Naona Kuna pepo litamjia mtoa mada na mapanga 17 na kumkata vipande 17
Alete sadaka tufunge na kuomba
🤣😅😀Duh unatabiri kama nabii Inyaki Nyakia mwenye kanisa lake pale mpakani mwenge.
Siyo wmenyewe kweli.
Nambari 17 ina maana nyingi, ikiwa ni pamoja na:Nimepata maono ya ajabu sana ya kimungu kuhusu Mh Mbowe.
Nimeotehswa Mbowe kavaa jezi namba 17 sijajua maana yake kwa undani lakini nimeona ni share hapa
Kama kweli mamba 17 ina bahati naenda kuoa binti mwenye 17.Nambari 17 ina maana nyingi, ikiwa ni pamoja na:
Nambari ya malaika
Wengine husema kwamba kuona nambari 17 ni ujumbe kutoka kwa walezi wako kuchukua jukumu la uchaguzi wako na kufanya mabadiliko chanya. Inaweza pia kuonyesha kuwa unakaribia kupata mabadiliko makubwa ya ndani, na kwamba unapaswa kujaribu mambo mapya ili kukua kiroho.
Alama ya Kibiblia
Katika Biblia, namba 17 inaashiria ushindi na ukamilifu, na ni mchanganyiko wa namba 10 na 7, ambayo inaashiria utaratibu kamili na ukamilifu kwa mtiririko huo.
Numerology
Wengine wanasema kwamba nambari ya 17 inawakilisha mageuzi ya ulimwengu na ukombozi wa karmic. Wengine wanasema ni ishara ya mwanadamu kushiriki katika ulimwengu wa mbinguni na wa dunia, au makutano kati ya ulimwengu wa kiroho na wa kimwili.
Hisabati
Nambari 17 ni nambari ya Leyland, mkuu wa Fermat, na moja ya nambari za bahati za Euler. Pia ni idadi ya chini zaidi ya zawadi zinazohitajika kwa fumbo la sudoku kuwa na suluhu la kipekee.
U tu
Wengine husema kuwa watu waliozaliwa tarehe 17 ni wabunifu, wenye mawazo na wanafikra huru ambao hawapendi kufuata kanuni za jamii.
Ushirikina
Huko Italia na nchi zingine za asili ya Uigiriki na Kilatini, nambari ya 17 inachukuliwa kuwa mbaya. Tarehe ya Ijumaa tarehe 17 inachukuliwa kuwa ya bahati mbaya sana nchini Italia.
Ungekubali tu mkuu ungutafutwa na wana JF wa kike kama almasi.🤣😅😀
Ni utani tu
Hapa usiogope
Haitakusaidia tafuta aliyezaliwa hiyo tarehe lakini pia ucheki na nyota yake asije kuwa yeye moto wewe maji au yeye SIMBA halafu wewe kondooKama kweli mamba 17 ina bahati naenda kuoa binti mwenye 17.
'.......tena ni under eighteen.....' Monetary doctor
Hapana me sio tapeli, acha waende wenyewe wapunweUngekubali tu mkuu ungutafutwa na wana JF wa kike kama almasi.
Asante sana mkuu, nitafanya hivyo.Haitakusaidia tafuta aliyezaliwa hiyo tarehe lakini pia ucheki na nyota yake asije kuwa yeye moto wewe maji au yeye SIMBA halafu wewe kondoo
Hutaki kuwa kama buldoza mkuu.Hapana me sio tapeli, acha waende wenyewe wapunwe
Hapana mkuuHutaki kuwa kama buldoza mkuu.