Maono niliyoona usiku wa kuamkia leo 20/01/2025

Maono niliyoona usiku wa kuamkia leo 20/01/2025

B Prosper

JF-Expert Member
Joined
Dec 16, 2016
Posts
2,527
Reaction score
4,097
Bwana Yesu Kristo asifiwe.

Mungu azidi kuwabariki nyote ambao mmependwa na BWANA kwa kuwazidishia afya njema na pumzi yake ya bure.

Kabla sijaleta maono haya naomba niseme mimi siyo mwanasiasa wa chama chochote nchini tanzania wala nchi yeyote.

"Nilikuwa katika roho, naam ulimwengu ule usioonekana kwa macho ya mwili na nyama, kisha nikaona ardhi niliyokalia ikiwa na machafuko sana, nilivyotazama angani niliona ndege za kivita zikienda kwa kasi sana, nikawaona raia wakikimbia uelekeo wasioujua. Mbele yangu nikaona mlima mdogo juu ya ule mlima nikamwona raisi mwanamke ameshikiliwa akiwa amepiga magoti na kufungwa kwa pingu, raisi yule alilia kwa uchungu.

Naam huo ni mwisho wa maono yangu. Mungu awabariki.
 
Bwana Yesu Kristo asifiwe.

Mungu azidi kuwabariki nyote ambao mmependwa na BWANA kwa kuwazidishia afya njema na pumzi yake ya bure.

Kabla sijaleta maono haya naomba niseme mimi siyo mwanasiasa wa chama chochote nchini tanzania wala nchi yeyote.

"Nilikuwa katika roho, naam ulimwengu ule usioonekana kwa macho ya mwili na nyama, kisha nikaona ardhi niliyokalia ikiwa na machafuko sana, nilivyotazama angani niliona ndege za kivita zikienda kwa kasi sana, nikawaona raia wakikimbia uelekeo wasioujua. Mbele yangu nikaona mlima mdogo juu ya ule mlima nikamwona raisi mwanamke ameshikiliwa akiwa amepiga magoti na kufungwa kwa pingu, raisi yule alilia kwa uchungu.

Naam huo ni mwisho wa maono yangu. Mungu awabariki.
kemea pepo hilo, Rais hawezi kufungwa pingu.
 
Bwana Yesu Kristo asifiwe.

Mungu azidi kuwabariki nyote ambao mmependwa na BWANA kwa kuwazidishia afya njema na pumzi yake ya bure.

Kabla sijaleta maono haya naomba niseme mimi siyo mwanasiasa wa chama chochote nchini tanzania wala nchi yeyote.

"Nilikuwa katika roho, naam ulimwengu ule usioonekana kwa macho ya mwili na nyama, kisha nikaona ardhi niliyokalia ikiwa na machafuko sana, nilivyotazama angani niliona ndege za kivita zikienda kwa kasi sana, nikawaona raia wakikimbia uelekeo wasioujua. Mbele yangu nikaona mlima mdogo juu ya ule mlima nikamwona raisi mwanamke ameshikiliwa akiwa amepiga magoti na kufungwa kwa pingu, raisi yule alilia kwa uchungu.

Naam huo ni mwisho wa maono yangu. Mungu awabariki.
Utakuwa na vinasaba na Act wazarendo wewe siyo bure
 
Bwana Yesu Kristo asifiwe.

Mungu azidi kuwabariki nyote ambao mmependwa na BWANA kwa kuwazidishia afya njema na pumzi yake ya bure.

Kabla sijaleta maono haya naomba niseme mimi siyo mwanasiasa wa chama chochote nchini tanzania wala nchi yeyote.

"Nilikuwa katika roho, naam ulimwengu ule usioonekana kwa macho ya mwili na nyama, kisha nikaona ardhi niliyokalia ikiwa na machafuko sana, nilivyotazama angani niliona ndege za kivita zikienda kwa kasi sana, nikawaona raia wakikimbia uelekeo wasioujua. Mbele yangu nikaona mlima mdogo juu ya ule mlima nikamwona raisi mwanamke ameshikiliwa akiwa amepiga magoti na kufungwa kwa pingu, raisi yule alilia kwa uchungu.

Naam huo ni mwisho wa maono yangu. Mungu awabariki.
Sema tu na wewe uliwahi kushtuka kwenda kukojoa! Ungechelewa kidogo tu, ungeweza kutupatia sehemu muhimu sana kwenye hitimisho la hiyo ndoto yako.
 
Bwana Yesu Kristo asifiwe.

Mungu azidi kuwabariki nyote ambao mmependwa na BWANA kwa kuwazidishia afya njema na pumzi yake ya bure.

Kabla sijaleta maono haya naomba niseme mimi siyo mwanasiasa wa chama chochote nchini tanzania wala nchi yeyote.

"Nilikuwa katika roho, naam ulimwengu ule usioonekana kwa macho ya mwili na nyama, kisha nikaona ardhi niliyokalia ikiwa na machafuko sana, nilivyotazama angani niliona ndege za kivita zikienda kwa kasi sana, nikawaona raia wakikimbia uelekeo wasioujua. Mbele yangu nikaona mlima mdogo juu ya ule mlima nikamwona raisi mwanamke ameshikiliwa akiwa amepiga magoti na kufungwa kwa pingu, raisi yule alilia kwa uchungu.

Naam huo ni mwisho wa maono yangu. Mungu awabariki.
Amina, hiyo ndiyo future tunayoitaka
 
Ukisikia maono, macho ya rohoni, Bwana Kanena nami leo hii...

Kimbia, kinachofuata hapo ni uwongo uliokubuhu!
 
Bwana Yesu Kristo asifiwe.

Mungu azidi kuwabariki nyote ambao mmependwa na BWANA kwa kuwazidishia afya njema na pumzi yake ya bure.

Kabla sijaleta maono haya naomba niseme mimi siyo mwanasiasa wa chama chochote nchini tanzania wala nchi yeyote.

"Nilikuwa katika roho, naam ulimwengu ule usioonekana kwa macho ya mwili na nyama, kisha nikaona ardhi niliyokalia ikiwa na machafuko sana, nilivyotazama angani niliona ndege za kivita zikienda kwa kasi sana, nikawaona raia wakikimbia uelekeo wasioujua. Mbele yangu nikaona mlima mdogo juu ya ule mlima nikamwona raisi mwanamke ameshikiliwa akiwa amepiga magoti na kufungwa kwa pingu, raisi yule alilia kwa uchungu.

Naam huo ni mwisho wa maono yangu. Mungu awabariki.
Jinga kweli wewe,wenzio na Yale makaratasi meupe ya 2025 wameangukia pua huko 😆😆

Wale watabiri wote chaliiii na wewe utaunga nao kuaibika stay tuned.
 
Back
Top Bottom