Maono ya Haji Manara kuhusu Yanga yanatokea kwa kasi sana

Kama hufaidiki financialy na mpira hamna haja ya kuumizwa na matokeo yake
 
Mikia wanajua walichoifanyia Yanga ndio maana wanajua in and out,Yanga tulikurupuka sana kumuweka msola pale from nowhere,kwa hili ilivyo yule msola angejiuzulu mapema kulinda heshima au lah kama anahisi akijiuzulu Yanga atakosa mshahara wake kwa mo,basi asubirie bakora siku yake
 
Ndiyo mkome kukurupuka
Your browser is not able to display this video.
 


Hii Uto sasa imeshatoka akili kwa kuweweseka na Simba! Kwani Msola waliomchagua na Kumpigia Kura si ni Uto wenzako? Au kura mulizileta Msimbazi tumpigie?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…