Maono ya Haji Manara kuhusu Yanga yanatokea kwa kasi sana

Yaani mtu na akili zako timamu unakaa chini na kumsikiliza mtu kama Haji Manara! Labda uwe na akili za kimbumbumbu.

Tazama hii Nyani๐Ÿ’ iliyotukuka imeangalia hizi Clips za Manara mpaka imemaliza then inacomment kama haijui ilichokifanya ๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚
Wewe sasa utakuwa na akili za Kinyesi kabisa.
 
Tazama hii Nyani๐Ÿ’ iliyotukuka imeangalia hizi Clips za Manara mpaka imemaliza then inacomment kama haijui ilichokifanya ๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚
Wewe sasa utakuwa na akili za Kinyesi kabisa.
Kwa bahati nzuri sikupata kabisa huo muda mchafu wa kumsikiliza huyo Haji Manara wenu. Nimekoment kulingana na kilicho andikwa.
 
Exactly,Msolla ndiyo kirusi kinachoitesa Yanga
 
Aisee Haji kwann anaisema sana yanga? Amuheshim hata mzee Manara bas
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ