Maonyesho ya kimataifa ya sabasaba yafana sana. Kwa mara ya kwanza wafanyabiashara Wahindi wengi wa Tanzania wahudhuria, wanunua sana

Maonyesho ya kimataifa ya sabasaba yafana sana. Kwa mara ya kwanza wafanyabiashara Wahindi wengi wa Tanzania wahudhuria, wanunua sana

Ndiyo maana mtu mweupe lazima uendelee kumuabudi milele. Hii mentality ya kuona wahindi wengi 7,7 na kuhitimisha maonesho yamefanya inaeleza ulivyo dhalili mbele ya mhindi na mtu mweupe kwa ujumla
Mhindi toka Lindi ni mweupe! Wewe hata wanyaturu utawaita mabeberu.
 
Maonyesho ya kimataifa ya sabasaba ya miaka yote iliyopita ilikuwa vigumu kuona sura ya Mhindi kwenye hivyo viwanja wa Sabasaba Dar es Salaam mwaka huu wako kibao kila hatua chache unakutana nao familia kibao wazee hadi vikongwe , watoto, wanawake wanaume wakihindi ni wahindi kila kona na wananunua sana bidhaa kwenye mabanda na wamefurahi wanapita mabanda yote bila ubaguzi na kununua na kutaka maelezo.

Nimekuwa mwendaji miaka yote leo ni tofauti na miaka yote. Wahindi wamejipambanua kama sehemu ya Watanzania wengine kutembelea hayo maonyesho.

Zamani ukiona muhindi atakuwa lazima ni muonyesha bidhaa sio mtembelea mabanda safari hii ni tofauti.

Hongereni Wahindi kwa kuonyesha kujali haya maonyesho.
sema wamefilisika chini ya awamu hii.
 
Nenda katembelee uone mwamko wa wahindi Jana na Leo weekend umekuwa mkubwa mno weekend zao wamehamishia maonyesho ya sabasaba wao na familia zao yaani weekend hii Jana na Leo unakuta vizee vya kihindi vinatembea Hadi na mikongojo vimefurahi mno kwa out vilivyopewa

Wanawake na watoto wa kihindi yaani Kika kona hawafichi furaha Yao .

Sijawahi ona kitu kama hiki miaka yote kwenye maonyesho ya kimataifa ya sabasaba Dar es salaam Raisi Magufuli ana nyota ya kipekee

Kuna umati wa wahindi hasa
Kwamba umefurahi kuwaona vizee vya kihindi vyenye mikongojo vikifurahi kutolewa out sio?

Hahahah a long fuckn' way to freedom aisee.
 
Maonyesho ya kimataifa ya sabasaba ya miaka yote iliyopita ilikuwa vigumu kuona sura ya Mhindi kwenye hivyo viwanja wa Sabasaba Dar es Salaam mwaka huu wako kibao kila hatua chache unakutana nao familia kibao wazee hadi vikongwe , watoto, wanawake wanaume wakihindi ni wahindi kila kona na wananunua sana bidhaa kwenye mabanda na wamefurahi wanapita mabanda yote bila ubaguzi na kununua na kutaka maelezo.

Nimekuwa mwendaji miaka yote leo ni tofauti na miaka yote. Wahindi wamejipambanua kama sehemu ya Watanzania wengine kutembelea hayo maonyesho.

Zamani ukiona muhindi atakuwa lazima ni muonyesha bidhaa sio mtembelea mabanda safari hii ni tofauti.

Hongereni Wahindi kwa kuonyesha kujali haya maonyesho.
Angalizo: Wakumbuke tu COVID-19 bado haijatoweka, wachukue tahadhari zote muhimu na pia kuzingatia kanuni zote zinazopendekezwa na wataalamu wa afya.
 
Angalizo: Wakumbuke tu COVID-19 bado haijatoweka, wachukue tahadhari zote muhimu na pia kuzingatia kanuni zote zinazopendekezwa na wataalamu wa afya.
Sasa tahadhari kama zipi mkuu?kwanza barakoa yenyewe inafanana kama titi la mtu mmoja hivi lililokatwa..
 
Maonyesho ya kimataifa ya sabasaba ya miaka yote iliyopita ilikuwa vigumu kuona sura ya Mhindi kwenye hivyo viwanja wa Sabasaba Dar es Salaam mwaka huu wako kibao kila hatua chache unakutana nao familia kibao wazee hadi vikongwe , watoto, wanawake wanaume wakihindi ni wahindi kila kona na wananunua sana bidhaa kwenye mabanda na wamefurahi wanapita mabanda yote bila ubaguzi na kununua na kutaka maelezo.

Nimekuwa mwendaji miaka yote leo ni tofauti na miaka yote. Wahindi wamejipambanua kama sehemu ya Watanzania wengine kutembelea hayo maonyesho.

Zamani ukiona muhindi atakuwa lazima ni muonyesha bidhaa sio mtembelea mabanda safari hii ni tofauti.

Hongereni Wahindi kwa kuonyesha kujali haya maonyesho.
Picha ziko wapi?

Kana kwamba zitaongeza uzito wowote wa maana kwenye mada mbovu.
 
Tantrades hawana huruma na wananchi.

Packing za nje ya viwanja wamezichukua
Wao Safari hii na kuongeza gharama hadi kufikia Tsh.10,000 kwa gari moja na haijalishi unapaki kwa muda mfupi kiasi gani !

Kazi yao kuwakamua wananchi ili wapate pesa za kulipana posho!

Uongozi wa Tantrades salamu hizi ziwafikie popote mlipo.

Mmekwaza watu sana kwa kukwapua zile packing za nje ya uwanja wa maonesho na kuanza kuweka bei zenu kubwa!

Hamna huruma na wananchi.

Mmekwaza watu wengi sana.

Kwanini msingeacha utaratibu wa zamani kutumika?
 
Maonesho wala hayajachanganya kunoga kama ya miaka ya zamani!

Mleta mada Mbona hujasema ukweli?!

Tena watu wanakwambia kidogo afadhali ya leo wakati miaka ya nyuma ilikuwa kuanzia tarehe za mwisho wa mwezi June mambo huanza kuchanganya na kujaza watu wengi sana!
 
Ukiona wahindi wanacheka cheka na kuzunguka kununua kwenye mabanda ya wabongo basi ujue hali zao kiuchumi ni mbaya, wamepigika na ndivyo ilivyo kila mtu amepigika awamu hii hata wahindi kwasababu ya sera mbovu za biashara.
Maonyesho ya kimataifa ya sabasaba ya miaka yote iliyopita ilikuwa vigumu kuona sura ya Mhindi kwenye hivyo viwanja wa Sabasaba Dar es Salaam mwaka huu wako kibao kila hatua chache unakutana nao familia kibao wazee hadi vikongwe , watoto, wanawake wanaume wakihindi ni wahindi kila kona na wananunua sana bidhaa kwenye mabanda na wamefurahi wanapita mabanda yote bila ubaguzi na kununua na kutaka maelezo.

Nimekuwa mwendaji miaka yote leo ni tofauti na miaka yote. Wahindi wamejipambanua kama sehemu ya Watanzania wengine kutembelea hayo maonyesho.

Zamani ukiona muhindi atakuwa lazima ni muonyesha bidhaa sio mtembelea mabanda safari hii ni tofauti.

Hongereni Wahindi kwa kuonyesha kujali haya maonyesho.
Mabanda mengi yamefungwa
Nimewaona pia wahindi wa Yanga!
Chadema wangefungua Banda lao watu tutembelee Sacco's yetu pendwa
Kwa hiyo maonesho ya Sabasaba mwaka huu yamewalenga wahindi tu[emoji2]. Interesting
 
Hata mhindi apigike hawezi kuwa kama wewe
Ukiona wahindi wanacheka cheka na kuzunguka kununua kwenye mabanda ya wabongo basi ujue hali zao kiuchumi ni mbaya, wamepigika na ndivyo ilivyo kila mtu amepigika awamu hii hata wahindi kwasababu ya sera mbovu za biashara.
 
Nenda katembelee uone mwamko wa wahindi Jana na Leo weekend umekuwa mkubwa mno weekend zao wamehamishia maonyesho ya sabasaba wao na familia zao yaani weekend hii Jana na Leo unakuta vizee vya kihindi vinatembea Hadi na mikongojo vimefurahi mno kwa out vilivyopewa

Wanawake na watoto wa kihindi yaani Kika kona hawafichi furaha Yao .

Sijawahi ona kitu kama hiki miaka yote kwenye maonyesho ya kimataifa ya sabasaba Dar es salaam Raisi Magufuli ana nyota ya kipekee

Kuna umati wa wahindi hasa

Tupe mahudhurio ya makabila mengine ukianzia na wasukuma ili tujue mtazamo wako vizuri. Maana inaonekana wahindi ni kitu cha ajabu kwako.
 
Ni mbinu yao tu kujionyesha tupo pamoja, tunaelekea uchaguzi na nyie ngozi nyeusi huwa hamuaminiki inapofika vipindi vya uchaguzi....na hii covid kule Kenya wanakokimbilia kusubiria upepo upite mipaka imefungwa.
 
Ndiyo maana mtu mweupe lazima uendelee kumuabudi milele. Hii mentality ya kuona wahindi wengi 7,7 na kuhitimisha maonesho yamefanya inaeleza ulivyo dhalili mbele ya mhindi na mtu mweupe kwa ujumla

Honestly nimemdharau sana hiyo mpuuzi. Halafu kila siku ndio wa kwanza kujifanya haabudu mabeberu, wakati kuona asians tu kumefanya roho yake isuuzike!
 
Tantrades hawana huruma na wananchi.

Packing za nje ya viwanja wamezichukua
Wao Safari hii na kuongeza gharama hadi kufikia Tsh.10,000 kwa gari moja na haijalishi unapaki kwa muda mfupi kiasi gani !

Kazi yao kuwakamua wananchi ili wapate pesa za kulipana posho!

Uongozi wa Tantrades salamu hizi ziwafikie popote mlipo.

Mmekwaza watu sana kwa kukwapua zile packing za nje ya uwanja wa maonesho na kuanza kuweka bei zenu kubwa!

Hamna huruma na wananchi.

Mmekwaza watu wengi sana.

Kwanini msingeacha utaratibu wa zamani kutumika?
Ulipaswa kuwapongeza kwa kuongeza ubunifu wa kukusanya mapato, kama wenzao wa trafiki.
 
Nyie maskini wa ccm mtaendelea hivyo hivyo na kuwaumiza akina Dudley Mbowe waliwa baa wanajifurahisha.
Who is the f****ng dudu ley? Acha kuilaumu serikali kwa umasikini Wako piga kazi uondoe huo umasikini ulionao au unadhani chadema ndio itauondosha umasikini wako? Sonona inakutesa
 
Nenda katembelee uone mwamko wa wahindi Jana na Leo weekend umekuwa mkubwa mno weekend zao wamehamishia maonyesho ya sabasaba wao na familia zao yaani weekend hii Jana na Leo unakuta vizee vya kihindi vinatembea Hadi na mikongojo vimefurahi mno kwa out vilivyopewa

Wanawake na watoto wa kihindi yaani Kika kona hawafichi furaha Yao .

Sijawahi ona kitu kama hiki miaka yote kwenye maonyesho ya kimataifa ya sabasaba Dar es salaam Raisi Magufuli ana nyota ya kipekee

Kuna umati wa wahindi hasa

Huwa najua ww ni mjinga, ila sikujua kama ni mjinga wa kiwango hiki! Muhindi kwako ni bonge la maajabu. Ungeona wazungu si ungewatandikia red carpet kabisa.
 
Back
Top Bottom