Maonyesho ya kimataifa ya sabasaba yafana sana. Kwa mara ya kwanza wafanyabiashara Wahindi wengi wa Tanzania wahudhuria, wanunua sana

Ndiyo maana mtu mweupe lazima uendelee kumuabudi milele. Hii mentality ya kuona wahindi wengi 7,7 na kuhitimisha maonesho yamefanya inaeleza ulivyo dhalili mbele ya mhindi na mtu mweupe kwa ujumla
Mhindi toka Lindi ni mweupe! Wewe hata wanyaturu utawaita mabeberu.
 
sema wamefilisika chini ya awamu hii.
 
Kwamba umefurahi kuwaona vizee vya kihindi vyenye mikongojo vikifurahi kutolewa out sio?

Hahahah a long fuckn' way to freedom aisee.
 
Kwani hukuliona karibia na la konyagi
Mwamba ..bwana CCTV camera walisahau kuzichomoa zote...ipo moja imeonyesha kila hatua ya tukio.Hivi walitaka ata kumfanyia hivyo...aisee
 
Angalizo: Wakumbuke tu COVID-19 bado haijatoweka, wachukue tahadhari zote muhimu na pia kuzingatia kanuni zote zinazopendekezwa na wataalamu wa afya.
 
Angalizo: Wakumbuke tu COVID-19 bado haijatoweka, wachukue tahadhari zote muhimu na pia kuzingatia kanuni zote zinazopendekezwa na wataalamu wa afya.
Sasa tahadhari kama zipi mkuu?kwanza barakoa yenyewe inafanana kama titi la mtu mmoja hivi lililokatwa..
 
Picha ziko wapi?

Kana kwamba zitaongeza uzito wowote wa maana kwenye mada mbovu.
 
Tantrades hawana huruma na wananchi.

Packing za nje ya viwanja wamezichukua
Wao Safari hii na kuongeza gharama hadi kufikia Tsh.10,000 kwa gari moja na haijalishi unapaki kwa muda mfupi kiasi gani !

Kazi yao kuwakamua wananchi ili wapate pesa za kulipana posho!

Uongozi wa Tantrades salamu hizi ziwafikie popote mlipo.

Mmekwaza watu sana kwa kukwapua zile packing za nje ya uwanja wa maonesho na kuanza kuweka bei zenu kubwa!

Hamna huruma na wananchi.

Mmekwaza watu wengi sana.

Kwanini msingeacha utaratibu wa zamani kutumika?
 
Maonesho wala hayajachanganya kunoga kama ya miaka ya zamani!

Mleta mada Mbona hujasema ukweli?!

Tena watu wanakwambia kidogo afadhali ya leo wakati miaka ya nyuma ilikuwa kuanzia tarehe za mwisho wa mwezi June mambo huanza kuchanganya na kujaza watu wengi sana!
 
Ukiona wahindi wanacheka cheka na kuzunguka kununua kwenye mabanda ya wabongo basi ujue hali zao kiuchumi ni mbaya, wamepigika na ndivyo ilivyo kila mtu amepigika awamu hii hata wahindi kwasababu ya sera mbovu za biashara.
Mabanda mengi yamefungwa
Nimewaona pia wahindi wa Yanga!
Chadema wangefungua Banda lao watu tutembelee Sacco's yetu pendwa
Kwa hiyo maonesho ya Sabasaba mwaka huu yamewalenga wahindi tu[emoji2]. Interesting
 
Hata mhindi apigike hawezi kuwa kama wewe
Ukiona wahindi wanacheka cheka na kuzunguka kununua kwenye mabanda ya wabongo basi ujue hali zao kiuchumi ni mbaya, wamepigika na ndivyo ilivyo kila mtu amepigika awamu hii hata wahindi kwasababu ya sera mbovu za biashara.
 

Tupe mahudhurio ya makabila mengine ukianzia na wasukuma ili tujue mtazamo wako vizuri. Maana inaonekana wahindi ni kitu cha ajabu kwako.
 
Ni mbinu yao tu kujionyesha tupo pamoja, tunaelekea uchaguzi na nyie ngozi nyeusi huwa hamuaminiki inapofika vipindi vya uchaguzi....na hii covid kule Kenya wanakokimbilia kusubiria upepo upite mipaka imefungwa.
 
Ndiyo maana mtu mweupe lazima uendelee kumuabudi milele. Hii mentality ya kuona wahindi wengi 7,7 na kuhitimisha maonesho yamefanya inaeleza ulivyo dhalili mbele ya mhindi na mtu mweupe kwa ujumla

Honestly nimemdharau sana hiyo mpuuzi. Halafu kila siku ndio wa kwanza kujifanya haabudu mabeberu, wakati kuona asians tu kumefanya roho yake isuuzike!
 
Ulipaswa kuwapongeza kwa kuongeza ubunifu wa kukusanya mapato, kama wenzao wa trafiki.
 
Nyie maskini wa ccm mtaendelea hivyo hivyo na kuwaumiza akina Dudley Mbowe waliwa baa wanajifurahisha.
Who is the f****ng dudu ley? Acha kuilaumu serikali kwa umasikini Wako piga kazi uondoe huo umasikini ulionao au unadhani chadema ndio itauondosha umasikini wako? Sonona inakutesa
 

Huwa najua ww ni mjinga, ila sikujua kama ni mjinga wa kiwango hiki! Muhindi kwako ni bonge la maajabu. Ungeona wazungu si ungewatandikia red carpet kabisa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…