Ubena Zomozi JF-Expert Member Joined Jun 19, 2022 Posts 1,608 Reaction score 1,286 Aug 14, 2022 #21 Huo ni mtazamo wako hasi
TODAYS JF-Expert Member Joined Apr 30, 2014 Posts 14,747 Reaction score 24,250 Aug 14, 2022 #22 Do, Bushmamy umesema jambo kubwa sana na lina uhalisia mkubwa na wakweli. Ndiyo maana Big JPM aliamua kuyapiga pini mwaka juzi, maana aliona No credit. Pamoja na hilo maonyesho yamekuwa siyo kwa walengwa bali wafanyabiashara na walanguzi.
Do, Bushmamy umesema jambo kubwa sana na lina uhalisia mkubwa na wakweli. Ndiyo maana Big JPM aliamua kuyapiga pini mwaka juzi, maana aliona No credit. Pamoja na hilo maonyesho yamekuwa siyo kwa walengwa bali wafanyabiashara na walanguzi.