Maonyesho ya nane nane yanaendelea kupoteza mvuto mwaka hadi mwaka

Do, Bushmamy umesema jambo kubwa sana na lina uhalisia mkubwa na wakweli.

Ndiyo maana Big JPM aliamua kuyapiga pini mwaka juzi, maana aliona No credit.

Pamoja na hilo maonyesho yamekuwa siyo kwa walengwa bali wafanyabiashara na walanguzi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…