Kama yatafanyika itabidi wawe strict kwenye matumizi ya barakoa na vitakasa mikono.....tatizo wabongo tunapenda tuanze kushuhudia ndo tuamini. Kwa magonjwa ya kuambukiza kwa kasi kama korona hakunaga huo muda wa kuanza kushuhudia, ukiona umeshuhudia basi hiyo hali iashakuwa si hali tena...