Wabongo bhana eti mnaaminishana hakuna corona na ni propaganda za kimagharibi sawa sawa...
Kuna haja ya kuepusha misongamano ili kukinga wananchi na korona.Muhimbili na KCMC tayari wamepuliza kipyenga cha tahadhari ya Covid 19 na kutoa maelekezo ba muongozo wa nini kifanyike.
Dar inajiandaa na mkusanyiko mkubwa wa maonyesho ya kimataifa ya biashara katika uwanja wa JK Nyerere Kilwa Road.
Tujiulize kuna umuhimu gani wa kufanya haya maonyesho katika kipindi hiki?
Ama ndio hivyo kumeshakucha kujichotea posho bila kujali afya zetu. Maana haya maonyesho mashirika ya Umma uwa wanalipana posho hasa.
KORONA hakuna wandugu ....... Chapeni KAZI. .... Na ulishaambiwa KAZI iendelee>>>>>>>
Sent from my TECNO P703 using JamiiForums mobile app
Aisee kama Corona huyo yupo nafikiri Bongo ingekuwa 70% ya wananchi wake tumefariki kwa wimbi la 1&2 lile! Na hivi hatuna tahadhari zozote aaah ingekuwa tumeisha lakini bora sisi kuliko wavaa barakoa na wanalockdownWaache tu, watakuja kusimulia hapa.. ..watu kama hawa wanahitaji elimu ya ziada.. ..eti anakuuliza "Corona we mbona hujafa, kwenu wamekufa wangapi? Kuna sehemu wamekufa mji mzima hapa Tanzania?" Mtu kama huyu utamwambia nini akuelewe mkuu [emoji3]
Mimi nina watu wa karibu yangu washapoteza maisha kutokana na janga hili.
Njoo kariakoo mzee nyomi kama kawaida alafu uje utuambie sasahivi eti msiwe mnakaa pamoja sijui aaah mbona Magufuli alitufanya tuwe na akili za kufikiri wenyewe na sio kukaririshwa..!!Kuna haja ya kuepusha misongamano ili kukinga wananchi na korona.
Muhimbili na KCMC tayari wamepuliza kipyenga cha tahadhari ya Covid 19 na kutoa maelekezo ba muongozo wa nini kifanyike.
Dar inajiandaa na mkusanyiko mkubwa wa maonyesho ya kimataifa ya biashara katika uwanja wa JK Nyerere Kilwa Road.
Tujiulize kuna umuhimu gani wa kufanya haya maonyesho katika kipindi hiki?
Ama ndio hivyo kumeshakucha kujichotea posho bila kujali afya zetu. Maana haya maonyesho mashirika ya Umma uwa wanalipana posho hasa.
Huwezi jua watu wangapi wamepoteza/wanapoteza maisha kwa covid bila ya kutolewa statistics.Aisee kama Corona huyo yupo nafikiri Bongo ingekuwa 70% ya wananchi wake tumefariki kwa wimbi la 1&2 lile! Na hivi hatuna tahadhari zozote aaah ingekuwa tumeisha lakini bora sisi kuliko wavaa barakoa na wanalockdown
we sema propaganda, jiwe yupo wapi!!!!Bado unakomaa na hizi propaganda za magharibi?