J putin
JF-Expert Member
- Oct 5, 2018
- 1,263
- 1,206
Ukoo wetu wote ni mapacha.
Kwenye familia yetu tuko nane.
Wakike ni wa NNE
Wa kiume pia tuko wa NNE
Dada zangu wote wana mapacha tena kila wakipata mimba ni watoto wawili mpaka tatu.
Kaka zangu pia hali ni hivyohivyo watoto wawili ,watatu.
Na tunafanana sana,sana,sana kutofautisha watoto wa dada na wa kaka zangu ni vigumu sana .
Cha ajabu dada zangu wote ni mapacha wa kike.
Kaka zangu nao wana mapacha wa kiume wote. Ila wote tunatumia jina moja LA ukoo hata dada zangu pia ni hivyo hivyo japo wameolewa lkn haina shida kwa waume wao na wamekubali kutumia jina uko wetu.
Hata mimi najua njia ni moja tu kuja kupata mapacha.
Watalaam hii inakuwaje?
Kwenye familia yetu tuko nane.
Wakike ni wa NNE
Wa kiume pia tuko wa NNE
Dada zangu wote wana mapacha tena kila wakipata mimba ni watoto wawili mpaka tatu.
Kaka zangu pia hali ni hivyohivyo watoto wawili ,watatu.
Na tunafanana sana,sana,sana kutofautisha watoto wa dada na wa kaka zangu ni vigumu sana .
Cha ajabu dada zangu wote ni mapacha wa kike.
Kaka zangu nao wana mapacha wa kiume wote. Ila wote tunatumia jina moja LA ukoo hata dada zangu pia ni hivyo hivyo japo wameolewa lkn haina shida kwa waume wao na wamekubali kutumia jina uko wetu.
Hata mimi najua njia ni moja tu kuja kupata mapacha.
Watalaam hii inakuwaje?