Mapacha kwetu ni kawaida sana.hii imekaaje wadau

Mapacha kwetu ni kawaida sana.hii imekaaje wadau

Hatuna hiyo tabia mkuu,nyumbani ni washika dini kweli kweli.ila hili jambo nashangaa ni kwa nn ,wapo dada zangu wengine wako nje hata kuonana hatujaonana ila watoto wao ni kuwatofautisha na watoto wa ndugu zangu ni mtihani mkubwa sana.nimeamua kuanza kufanya utafiti kwenye genes mpaka nipate majibu ya haya mambo
Pia ndugu kusema kwamba watoto wa dada zako wanatumia jina la ukoo wenu , hii inaonesha mnatabia ya kuoana ndugu wa ukoo , mwanaume gani anayeruhusu mwanae aitwe jina la ukoo wa mwanamke , hii huweza kitokea endapo mwanamke na mwanaume wanatoka ukoo mmoja , kama ni kweli mnatabia ya kuoana wenyewe kwenye ukoo mnajipa nafasi ya magonjwa makubwa ya genetics endapo kuna ka genes kabaya kwenye ukoo kuoana wenyewe genes hii hukua kutokana na wote kuwa carries kunafanya mzae watoto wenye mapungufu au tabia fulani ambayo kama muhusika angeoa njee tabia hii au ulemavu huo wa genes ungepotea kabisa
 
Sawa mapacha wametawala
Tutajie jina la ukoo wenu,maana kwa hilo tu mtakuwa maarufu hivyo ni rahisi kuwajua na kubaini IQ zenu ili wadogo zetu walete posa ktk ukoo huo waendeleze mapacha

Hilo la watoto wa dada zako wote 4 kutumia jina la ukoo wenu(upande wa wanawake) kuna tatizo kubwa.
Inawezekana dada hao wamepata wanaume wenye shida katika kufikiria kwao au kutokana na makuzi/maadili ya familia yenu,kuna hali ya utemi ambayo mnataka kuiabukiza hata huko walikooewa.
HAMUWATENDEI HAKI WANAUME HAO.

Kuhusu kaka zako kuzaa mapacha wote hilo silizungumzii sana maaa post #9 ya geniusMe imejieleza vizuri.

Otherwise unataka kuwanasa akina mama wanaolilia mapacha kila siku,hivyo unawafanyia tricks ili waje wenyewe.

HONGERENI UKOO WA MAPACHA
Kiukweli dada zangu wana dharau sana waume zao,kwa hiyo wanachosema ni ndio tu.ukoo siwezi kusema ila tuko wilaya rorya jaribu kuuliza
 
Najua hilo ila napisha kwa majibu amabayo yako wazi kabisa kwetu
Wanaume hawawezi sababisha mapacha .. Ni genetic za mwanamke na mpaka Leo haijulikani kitu kinachosababisha mapacha ingawa process inajulikana
 
Back
Top Bottom