J putin
JF-Expert Member
- Oct 5, 2018
- 1,263
- 1,206
- Thread starter
- #21
Hatuna hiyo tabia mkuu,nyumbani ni washika dini kweli kweli.ila hili jambo nashangaa ni kwa nn ,wapo dada zangu wengine wako nje hata kuonana hatujaonana ila watoto wao ni kuwatofautisha na watoto wa ndugu zangu ni mtihani mkubwa sana.nimeamua kuanza kufanya utafiti kwenye genes mpaka nipate majibu ya haya mambo
Pia ndugu kusema kwamba watoto wa dada zako wanatumia jina la ukoo wenu , hii inaonesha mnatabia ya kuoana ndugu wa ukoo , mwanaume gani anayeruhusu mwanae aitwe jina la ukoo wa mwanamke , hii huweza kitokea endapo mwanamke na mwanaume wanatoka ukoo mmoja , kama ni kweli mnatabia ya kuoana wenyewe kwenye ukoo mnajipa nafasi ya magonjwa makubwa ya genetics endapo kuna ka genes kabaya kwenye ukoo kuoana wenyewe genes hii hukua kutokana na wote kuwa carries kunafanya mzae watoto wenye mapungufu au tabia fulani ambayo kama muhusika angeoa njee tabia hii au ulemavu huo wa genes ungepotea kabisa