Mapacha Waheshimiwa Kulwa na Dotto Biteko Leo Wanasherehekea Siku yao ya kuzaliwa

Mapacha Waheshimiwa Kulwa na Dotto Biteko Leo Wanasherehekea Siku yao ya kuzaliwa

Uzalendo wa Kitanzania

JF-Expert Member
Joined
Mar 8, 2020
Posts
3,585
Reaction score
8,106
Hongera kwao
Hongera kwa familia
Hongereni WanaCCM wote!

Happy Anniversary

FB_IMG_16093224978681777.jpg
 
Happy birthday kwao watoto wa mzee biteko
Huyo kulwa yuko kitengo gani ?

Alafu sio happy anniversary mzee [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Katika mwili wa mwanaume tumbo kubwa sana sipendi, si kwamba 6 packs zinanizuzua ila tumbo kubwa (kitambi) Kama cha hao mapacha hapana hata upendo kwake siwezi kuupata,
Ndiyo maRijali tulivo!! (Mazoezi hujenga mwili uutakao)....
 
Katika mwili wa mwanaume tumbo kubwa sana sipendi, si kwamba 6 packs zinanizuzua ila tumbo kubwa (kitambi) Kama cha hao mapacha hapana hata upendo kwake siwezi kuupata,
Na kama ana pesa je unavutiwa nazo?
 
😂😂😂😂 nacheka kwanza na comments

Happy birthday mapacha
 
Na sijawahi kumpata wa tumbo kubwa km hao mapacha, nadhani Ni wachafu wavivu na wasiojipenda wanaume aina hiyo,, kwahiyo awe na pesa haibadili mtizamo wangu akiwa na huo mtumbo
In short kitambi ni dalili za ujinga.
 
Huyu Dotto ndo mwizi wa Tanzanite kule Mererani. Majambazi wa m5tena.
 
Back
Top Bottom