Uzalendo wa Kitanzania
JF-Expert Member
- Mar 8, 2020
- 3,585
- 8,106
Hongera kwao
Hongera kwa familia
Hongereni WanaCCM wote!
Happy Anniversary
Hongera kwa familia
Hongereni WanaCCM wote!
Happy Anniversary
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hapyy birthday to the twins.....Hongera kwao
Hongera kwa familia
Hongereni WanaCCM wote!
Happy Anniversary
Unavutiwa na 6pks?Happy birthday kwao, wapunguze matumbo kah!! Mi mwanaume mwenye mtumbo wa hivyo kwakweli hanivutii
Katika mwili wa mwanaume tumbo kubwa sana sipendi, si kwamba 6 packs zinanizuzua ila tumbo kubwa (kitambi) Kama cha hao mapacha hapana hata upendo kwake siwezi kuupata,Unavutiwa na 6pks?
Ndiyo maRijali tulivo!! (Mazoezi hujenga mwili uutakao)....Katika mwili wa mwanaume tumbo kubwa sana sipendi, si kwamba 6 packs zinanizuzua ila tumbo kubwa (kitambi) Kama cha hao mapacha hapana hata upendo kwake siwezi kuupata,
Na kama ana pesa je unavutiwa nazo?Katika mwili wa mwanaume tumbo kubwa sana sipendi, si kwamba 6 packs zinanizuzua ila tumbo kubwa (kitambi) Kama cha hao mapacha hapana hata upendo kwake siwezi kuupata,
Na sijawahi kumpata wa tumbo kubwa km hao mapacha, nadhani Ni wachafu wavivu na wasiojipenda wanaume aina hiyo,, kwahiyo awe na pesa haibadili mtizamo wangu akiwa na huo mtumboNa kama ana pesa je unavutiwa nazo?
In short kitambi ni dalili za ujinga.Na sijawahi kumpata wa tumbo kubwa km hao mapacha, nadhani Ni wachafu wavivu na wasiojipenda wanaume aina hiyo,, kwahiyo awe na pesa haibadili mtizamo wangu akiwa na huo mtumbo
Asante sana kwa kufupisha hadithi yangu mkuuIn short kitambi ni dalili za ujinga.
Kwahiyo watu wazima wengi ni wajinga tuseme 70% ya watu wazimaIn short kitambi ni dalili za ujinga.
Ujinga wake ulianza pale aliporuhusu tumbo likaning'inia..ni ujinga wa hali ya juu.Kwahiyo watu wazima wengi ni wajinga tuseme 70% ya watu wazima
Happy birthday to them waheshimiwa
Bado hujajibu mkuu wangu, Soma tenaUjinga wake ulianza pale aliporuhusu tumbo likaning'inia..ni ujinga wa hali ya juu.
Mkuu unataka nini tena..ni Ujinga NarudiaBado hujajibu mkuu wangu, Soma tena