heri ya mwaka mpya wadau...nina swali moja jamani, niliangalia kipindi cha Shajara TBC1,kuna mapacha wa kike wa Iringa walikuwa wanahojiwa, wameungana kifuani.
kilichonishangaza,walikua wanaonge kwa pamoja, na kitu kimoja pia!!
Je,inakuaje hapa wadau??