Junior Rutashoborwa
JF-Expert Member
- Oct 13, 2019
- 228
- 210
Hi everyone in here,
Unaambiwa dunia ni moja ila majira na hali ya hewa hutofautiana kutoka sehemu moja hadi nyingine. Haya ni maajabu ya Yahweh.
Juzi, tulipokuwa tunatoka holiday ughaibuni, tulipoanza kugusa anga la Afrika, mapafu yalishituka ghafla kwani pressure ilibadilika.
Nilikuwa usingizini Wakati huo, vinyweleo vya pua yangu vilisimama kukabiliana na hewa nzito ya Afrika.
Mabadiliko haya huwa yananisumbua sana kila nikirudigi nyumbani. Hivyo Daktari wa familia huwa ananishauri mara nyingi nifikie mapumzikoni Arusha au Moshi.
Leo sina mengi zaidi niwatakie SABATO NJEMA. Kwa si wayahudi tunasema Shabbat shalom!!!
Jambo Tanzania.
Sent using Jamii Forums mobile app
Unaambiwa dunia ni moja ila majira na hali ya hewa hutofautiana kutoka sehemu moja hadi nyingine. Haya ni maajabu ya Yahweh.
Juzi, tulipokuwa tunatoka holiday ughaibuni, tulipoanza kugusa anga la Afrika, mapafu yalishituka ghafla kwani pressure ilibadilika.
Nilikuwa usingizini Wakati huo, vinyweleo vya pua yangu vilisimama kukabiliana na hewa nzito ya Afrika.
Mabadiliko haya huwa yananisumbua sana kila nikirudigi nyumbani. Hivyo Daktari wa familia huwa ananishauri mara nyingi nifikie mapumzikoni Arusha au Moshi.
Leo sina mengi zaidi niwatakie SABATO NJEMA. Kwa si wayahudi tunasema Shabbat shalom!!!
Jambo Tanzania.
Sent using Jamii Forums mobile app