Mapaja na hips artificial

Kuna suruali za kike zimeingia mitaani ambazo zina vaccum (nafasi) ambapo baada ya kuvaliwa na ku~pump hujaa na kumwongezea mwili, (hips, mapaja) yake hivyo wakwere wa wa wanawake wakae sawa....
mapenzi ya siku hizi bwana, watu wanapendana kweli, au wanafanya ng*no?
 
Wana tumia pump ya baiskeli kuzifurisha au petrol station?
 
Ndo mlichobakiza kuwaza ngono tu.....no wonder nguvu za kiumeni zinawaishia ovyo ovyo tu!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…