Lady Mwali
Senior Member
- Nov 15, 2018
- 147
- 333
Mkuu wa Wilaya ya Ruvuma ambaye ni mwanamke mwenzetu ameagiza wanawake wa Ruvuma kabla hawajafanya mapenzi na wanaume wawakague kwanza kujiridhisha kwamba wametahiriwa, ikiwa hawajatahiriwa wasitoe huduma ya mapenzi.
Hii yote ni mapambano dhidi ya ugonjwa wa Ukimwi kwani utafiti unasema wanaume magovi huambukiza HIV kirahisi.
Wanawake hoyeeee!!
Samia hoyeee!!
Mwaka 2025 kula zetu kwako.
Hii yote ni mapambano dhidi ya ugonjwa wa Ukimwi kwani utafiti unasema wanaume magovi huambukiza HIV kirahisi.
Wanawake hoyeeee!!
Samia hoyeee!!
Mwaka 2025 kula zetu kwako.