shida hata sio yeye, shida ni ma coufender wa nchi yetu wali feli kufikiri na kupanga baadhi ya mambo.Huyu bi mkubwa wanamkejeli kuliko marais wote
Kabsa Mkuushida hata sio yeye, shida ni ma coufender wa nchi yetu wali feli kufikiri na kupanga baadhi ya mambo.
mfano iki tokea taifa lina enda hovyo, je kuna idara ipi ya kufanya balance check ?.
au ni mpaka mtu aguse maslahi ya mtu ndio hatua zuchukuliwe?