Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Umezungumza kweli tupu,Nilikuwa naangalia kwenyevgazeti moja la nje ,inaonyesha Kenya ni yavsita duniani kwa kuzalisha maparachichi huku Tanzania ikiwa haimo hata kumi bora.Wakati huo Kenya wanamakampuni yananunua nchini na kuyapeleka kenya.Wakifika huko wanayasafirisha nje kwa label yao!MAPARACHICHI YA TANZANIA YANAVYOUZWA NJE YA NCHI KWA KUPEWA URAIA MPYA
Tanzania imejizolea umaarufu kwenye nchi za kiarabu kutokana na maparachichi yanayolimwa na kusafirishwa kutoka kwenye Taifa hili kuwa na ubora wa hali ya juu.
Pia Tanzania huzalisha maparachichi mengi kuliko nchi yoyote barani Afrika. Hii inatokana na juhudi nzuri za Serikali chini Hayati Dkt. Magufuli na aliyekuwa Makamu wake, Mhe. Samia Hassan (sasa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.)
Licha ya kuongeza uzalishaji wa maparachichi bora, chombo cha habari cha Ujerumani (DW) kinasema kwamba maparachichi yanayolimwa Tanzania hununuliwa kwa bei nafuu na wafanyabiashara wa Kenya kisha kuuzwa kwa bei ya juu huko barani Ulaya yakiwa na chapa inayosema Product of Kenya ama bidhaa iliyozalishwa Kenya, huo ni uzandiki. sio kweli.
Si hivyo tu, bali wafanyabiashara nchini Tanzania wamekuwa wakiyauza bei kubwa maparachichi bora yaliyozalishwa nchini kwa kuwadanganya raia kwamba eti maparachichi hayo yanatoka Burundi.
Hali hiyo, haijaishia kwenye parachichi tu, ukitembea kwenye Soko la Sabasaba jijini Dodoma hususan kwenye majengo mazuri, utajionea mchele mzuri wa Tanzania umeandikwa Mchele wa Zambia.
Jambo jingine, Njombe imekuwa ikizalisha matofaha (apples/peasi) bora katika miaka ya hivi karibuni lakini wafanyabiashara huyachukuwa yale yenye ubora mkubwa na kuyaweka stickers kisha huzichanganya na apples zinazotoka Afrika Kusini na kuyauza matunda hayo kwa Watanzania kwa bei kubwa. Kwa wastani apple kubwa lenye ubora mkubwa linatoka katika mkoa Mkoa wa Njombe huuzwa kwa shilingi 300-500 lakini wafanyabiashara wakishayachanganya na apples za S.A huyauza kwa shilingi 1000.
We need Magifulification in Agricultural Market! Hayati Magufuli alisimamama kidete kuhakikisha madini ya Tanzania yanauzwa kwa jina la Tanzania.
Ombi, Tunaziomba mamlaka husika ikiwemo Wizara ya Kilimo, Uwekezaji na viwanda na biashara na Taasisi ya utafiti wa Kilimo (TARI) zifikirie namna bora ya kuhakikisha mazao ya kilimo yanakuwa wakala mzuri wa kuitangaza Tanzania nje ya nchi ili kuongeza idadi ya watalii wanaokuja kujionea kilimo bora kilichopo nchini ikiwemo Kilimo cha maparachichi.
Patrick Sanga,
Mkulima, Njombe
Hakuna kunyonywa wala niniNinaunga hoja yako kwa asilimia 100. Wizara ya Kilimo ina wajibu gani?. Bidhaa za Tanzania zinasafirishwa kwenda Kenya na baadaye kusafirishwa nchi za nje zikiwa na nembo ya Kenya. Nadhani hata safari hii ya Mhe. Rais kwenda Kenya, uongozi wa kenya unaenda kumpigia magoti akubali biashara zirudi kama zamani ambapo walikuwa wanatunyonya sana. Hapa ndipo nilipompendea Mhe. hayati Magufuli. Aliweka nchi, watanzania kwanza. Wizara ya Kilimo ni muda muafaka haya yanayoelezwa mkayafanyia kazi. AMKENI WAKATI NDIYO HUU.
Serikali yetu kupitia wizara husika wanachukua hatua gani ili wakulima maparachichi hapa wa export nje?Umezungumza kweli tupu,Nilikuwa naangalia kwenyevgazeti moja la nje ,inaonyesha Kenya ni yavsita duniani kwa kuzalisha maparachichi huku Tanzania ikiwa haimo hata kumi bora.Wakati huo Kenya wanamakampuni yananunua nchini na kuyapeleka kenya.Wakifika huko wanayasafirisha nje kwa label yao!
Huyu atakuwa mgeni wa mambo tuKwani parachachi zimeanza kulimwa kipindi Cha Magufuli?
Pia Tanzania huzalisha maparachichi mengi kuliko nchi yoyote barani Afrika. Hii inatokana na juhudi nzuri za Serikali chini Hayati Dkt. Magufuli na aliyekuwa Makamu wake, Mhe. Samia Hassan (sasa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania).
Unataka wizara ifanyaje,pumbavu majitu yanayotegemea salary ni hovyo Sana.Ninaunga hoja yako kwa asilimia 100. Wizara ya Kilimo ina wajibu gani?. Bidhaa za Tanzania zinasafirishwa kwenda Kenya na baadaye kusafirishwa nchi za nje zikiwa na nembo ya Kenya. Nadhani hata safari hii ya Mhe. Rais kwenda Kenya, uongozi wa kenya unaenda kumpigia magoti akubali biashara zirudi kama zamani ambapo walikuwa wanatunyonya sana. Hapa ndipo nilipompendea Mhe. hayati Magufuli. Aliweka nchi, watanzania kwanza. Wizara ya Kilimo ni muda muafaka haya yanayoelezwa mkayafanyia kazi. AMKENI WAKATI NDIYO HUU.
Nyie ni wajinga,kwanza hao wakenya wanasaidia wakulima kupata soko alafu wananunua kujazia pengo la kwao,kwa taarifa yako wanalima Sana tuu na ndio wamewafundisha wakulima kilimo cha parachichi.Umezungumza kweli tupu,Nilikuwa naangalia kwenyevgazeti moja la nje ,inaonyesha Kenya ni yavsita duniani kwa kuzalisha maparachichi huku Tanzania ikiwa haimo hata kumi bora.Wakati huo Kenya wanamakampuni yananunua nchini na kuyapeleka kenya.Wakifika huko wanayasafirisha nje kwa label yao!
Kenya inatengeneza mazingira afu watu wao wanachangamkia fursa,kule hakuna wajamaa na wajima kama huku TznSerikali ya Kenya walichofanya walipigania na kuwatafutia masoko ya nje wakulima wa maparachichi watu wao na walifanikiwa!
Sasa kwanini wakenya wasije nunua maparachichi tanzania?
Ova
Hiyo ku export inakuaje Kazi ya wizara? Wanazuiwa vibali?Serikali yetu kupitia wizara husika wanachukua hatua gani ili wakulima maparachichi hapa wa export nje?
Ova