Maparachichi ya Tanzania yanavyouzwa nje ya nchi kwa kupewa uraia mpya

Umezungumza kweli tupu,Nilikuwa naangalia kwenyevgazeti moja la nje ,inaonyesha Kenya ni yavsita duniani kwa kuzalisha maparachichi huku Tanzania ikiwa haimo hata kumi bora.Wakati huo Kenya wanamakampuni yananunua nchini na kuyapeleka kenya.Wakifika huko wanayasafirisha nje kwa label yao!
 
Serikali ya Kenya walichofanya walipigania na kuwatafutia masoko ya nje wakulima wa maparachichi watu wao na walifanikiwa!
Sasa kwanini wakenya wasije nunua maparachichi tanzania?

Ova
 
Hakuna kunyonywa wala nini
Bora umuzie mkenya nanasi au papai
Hela na Friday utaiona, kuliko uwauzie wazee wa chamazi na wengineo
Alafu msipende kuwalaumu wakenya wenzetu serikali yao wako vizuri kuwatafutia watu wao masoko ya nje
Hivi serikali yetu inafanya hivyo au ndiyo wanaridhika kuona mtu mmoja mmoja ndy awe ana export bidhaa

Ova
 
Serikali yetu kupitia wizara husika wanachukua hatua gani ili wakulima maparachichi hapa wa export nje?

Ova
 
**** kweli wewe kwani kabla ya magu parachichi zilikua haziuzwi huko uarabuni......
 
Pia Tanzania huzalisha maparachichi mengi kuliko nchi yoyote barani Afrika. Hii inatokana na juhudi nzuri za Serikali chini Hayati Dkt. Magufuli na aliyekuwa Makamu wake, Mhe. Samia Hassan (sasa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania).


Hahah, kuna wakati ukidanganywa unaishia kucheka tu sababu ukweli waujua

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Umeongea jambo la maana sana.Ila kunamsamiati umeutumia umepunguza uzito wa kile ulichotaka tukipate kutoka kwenye wazao lako/ habari yako.
 
Dasa nyie wakulima mtakuwa wajinga kama unataka serikali iunde chombo cha regulatory kama Korosho nk mtaanza kulia Lia

Bora ilivyo hivi hivi soko huria ,nyie hamjakatazwa kupeleka huko nje hao wanaweza kwa vile Wana mitaji na connection za soko

Imagine wasingekuwepo hao wakenya ungekula parachichi zote ?
 
Unataka wizara ifanyaje,pumbavu majitu yanayotegemea salary ni hovyo Sana.

Ma viongozi yenu akiwepo marehemu kituko walishindwa kuwezesha wafanyabiashara wa ndani waweze kushindana na hao wakenya afu unaongea ujinga

Kwamba unataka serikali inunue maparachichi kama Korosho au?

Acheni upumbavu maana bila hao wakenya ungeuzia kwako au
 
Nyie ni wajinga,kwanza hao wakenya wanasaidia wakulima kupata soko alafu wananunua kujazia pengo la kwao,kwa taarifa yako wanalima Sana tuu na ndio wamewafundisha wakulima kilimo cha parachichi.

Wasiponunua mtapeleka wapi sasa maana mpo badala ya kuchangamkia fursa mnapiga makelele na kulia Lia,hii nchi imejaa watu wajinga Sana walalamishi na wasio na suluhisho.
 
Serikali ya Kenya walichofanya walipigania na kuwatafutia masoko ya nje wakulima wa maparachichi watu wao na walifanikiwa!
Sasa kwanini wakenya wasije nunua maparachichi tanzania?

Ova
Kenya inatengeneza mazingira afu watu wao wanachangamkia fursa,kule hakuna wajamaa na wajima kama huku Tzn
 
Sabaya huyo wa marehemu alifanya fitina mpaka muwekezaji akatekeleza shamba la Miparachichi pale Kibohehe Estate- Hai. Hiyo wizara haikujigusa hata kidogo na leo shamba limekuwa pori.
 
Kama unamtaka mwendazake mfuate tutolee upimbi wako hapa
 
Ni ujinga na upumbavu uliokithiri kuamini serikali itawezesha exportation. Nitajieni bidhaa moja ya mfani imesimamiwa na serikali na kufanikiwa!
Ukifuatilia historia ya avocado, kenya wamenza kuzilima tangu miaka ya 60 , sisi tumeanza lini ?
Kenya wanamasoko mengi kuliko TZ ila hawawezi kutosheleza soko kao huko nje. Wanamkataba na China kupeleka tani zaidi ya laki moja.
Wana kampuni za kupack vizuri sisi ndio juzi Rungwe kampan tena wazungu ndio wameanza ku process na wana heka 800 tu.
BBC wamesema Nigeria na kenya ndio zina export kwa wingi na Nigeria wanataka kuongoza export in coming ten years.
BBC kuna mkulima wamemuhoji wa uganda ana hekta 1000+, ni mzawa gani Tanzania ana shamba kama hilo ? Wengi vieka viwili (subsistance farming! ), ikizi heka 100.
Kenya wakisusa kuja kununua parachichi kutatokea anguko la bei baya kabisa.
Watanzania tuache kuongea vitu kishabiki bali tutumie data.
Avocado ni biashara inayoendeshwa na makampuni serikali yetu haina mchango wowote wa maana, hivyo watu wanatakiwa waanzishe makampuni ya kusafirisha nje na si kuwazuia wakenya au wachina na wazungu.
Matajiri wa Tanzania waione avocado kama fursa na ikiwezekana waanzishe baadhi ya viwanda hapa hapa Tz ili zisafirishwe product za avocado na si avocado.
Narudia tena serikali haina mchango wowote bali demand ndio imelazimisha kukua kwa kilimo hicho, hawana msaada.
Wakulima wajitafutie masoko kama walivyofanya wakenya, hakuna mwanasiasa wa kukutafutia masoko, hayupo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…