Ha ha ha nimerudi baada ya kifungo ambacho kilinipunguzia matatizo ya macho yanayosababishwa na mwangaza wa monitor.
Hapa hapategemewi kiungo cha mboga wala mchuzi,kwani walipopongeza mapolisi na majeshi na mausalama hivyo ni vyombo vya wapi na uongozi wa Karume na Seifu ni wa wapi ,kama ni mambo ya dini bila ya shaka yeyote yalihisisha amani ya nchi na ndio hivyohivyo Ya Karume na Seifu ni kwa usalama wa nchi iwe huko kwa akina Bulicheka na mkewe au huku Zanzibar kwa waungwana.
CUF ni chama chenye nguvu Tanzania nzima hilo halina mjadala wala mbadala ,ikiwa busara waliyonayo viongozi wa CUF wataiweka kando na kuamua ya akina Savimbi na CHE basi Tanzania nzima itawaka moto ,hawa wanaoshughulikia machafuko ya mwembe chai na pale Pemba na sehemu za Unguja ,kusema la haki hawajajua ni namna gani machafuko yanatokea.
Wanachokipata na kufadhiliwa kama wametenda kazi nzuri ni simple job ambayo inakuwa inatokea kwenye sehemu maalum tena kaeneo kadogo tu ,weka kando chukulia mji kama Dsm unachafuka na riots za uhakika zinaibuka unafikiri polisi watakweza kuzuia ? Maana zikicharuka aliekuwa CUF na asiekuwa CUF wote watakuwa kitu kimoja kuhakikisha mambo yanapotulia tayari amejaza akiba ya mwaka mzima ndani ya nyumba yake.
Hivi choma kiwanda cha mafuta vamia airport weka moto ,vamia makao makuu ya bunge piga mawe magari ya serikali choma majumba ya serikali na ya viongozi maofisi na kila kilichokukalia mbele yako unavuburuga tu ,hivi polisi huyo atakwenda wapi ,kutakuwa hakunamaandamano ya kukusanyika kwenye kiwanja vya jangwani mambo ni kila kona.
Tatizo mawazo yenu ni mafupi na hayaoni zaidi ya kuta za vyumba.