N'yadikwa
JF-Expert Member
- Aug 10, 2014
- 7,427
- 10,905
TUNA TATIZO KUBWA LA HUDUMA DUNI KWENYE TAASISI ZETU ZA UMMA/SERIKALI...KIINI CHA TATIZO NI MFUMO WA AJIRA ZA SO CALLED "PERMANENT AND PENSIONABLE"
Nafahamu Taasisi mbalimbali za serikali zina targets lakini hali haiko hivyo kwa watumishi wao ambao target yao ni kuishi kazini hadi kustaafu.
Tatizo la uduni wa huduma kwenye taasisi nyingi za Serikali/ umma ni MFUMO WA AJIRA kwenye Utumishi wa Umma unaompa mwajiriwa UHAKIKA kwamba akiingia TU ndani ya Utumishi wa Umma basi ni mpaka Kustaafu.
MATOKEO YAKE... hawa watumishi wa umma wamekuwa baadhi yao miunguwatu kiasi kwamba ukifika kwenye ofisi za umma unapata huduma mbovu sana mpaka unashangaa.
Tatizo la huduma mbovu si kosa la taasisi husika ni HULKA tu ya watumishi binafsi wasiojua au wanaojifanya kutojua ni KWANINI WAPO HAPO OFISINI.
Mathalani Mashirika ya Umma yasiyo na ushindani kama vile TANESCO, IDARA ZA MAJI, MAMLAKA YA MAPATO, MIFUKO YA HIFADHI kumekuwa na ujinga mwingi sana wa huduma mbovu kutoka miongoni mwa baadhi ya watumishi.
ILI KUKOMESHA TATIZO HILI SUGU....Nashauri AJIRA KWENYE UTUMISHI WA UMMA iwe kwa mikataba kuanzia mwaka mpya wa Fedha 2022/2023
NAWASILISHA
N'yadikwa
Nafahamu Taasisi mbalimbali za serikali zina targets lakini hali haiko hivyo kwa watumishi wao ambao target yao ni kuishi kazini hadi kustaafu.
Tatizo la uduni wa huduma kwenye taasisi nyingi za Serikali/ umma ni MFUMO WA AJIRA kwenye Utumishi wa Umma unaompa mwajiriwa UHAKIKA kwamba akiingia TU ndani ya Utumishi wa Umma basi ni mpaka Kustaafu.
MATOKEO YAKE... hawa watumishi wa umma wamekuwa baadhi yao miunguwatu kiasi kwamba ukifika kwenye ofisi za umma unapata huduma mbovu sana mpaka unashangaa.
Tatizo la huduma mbovu si kosa la taasisi husika ni HULKA tu ya watumishi binafsi wasiojua au wanaojifanya kutojua ni KWANINI WAPO HAPO OFISINI.
Mathalani Mashirika ya Umma yasiyo na ushindani kama vile TANESCO, IDARA ZA MAJI, MAMLAKA YA MAPATO, MIFUKO YA HIFADHI kumekuwa na ujinga mwingi sana wa huduma mbovu kutoka miongoni mwa baadhi ya watumishi.
ILI KUKOMESHA TATIZO HILI SUGU....Nashauri AJIRA KWENYE UTUMISHI WA UMMA iwe kwa mikataba kuanzia mwaka mpya wa Fedha 2022/2023
NAWASILISHA
N'yadikwa