YEHODAYA
JF-Expert Member
- Aug 9, 2015
- 36,902
- 52,001
Naona maafisa masoko wa bima mko kazini kusaka soko hadi nyumba za majani!!!Naona bima ya makazi ndo suluhu kwa sababu tayari tuna makazi ambayo hayajapangiliwa hivyo kuboresha zima moto bado haitasaidia sana so tujikite kwenye bima. Ila sie ni uchumi wa kati kumbuka mkuu.