Lycaon pictus
JF-Expert Member
- Jan 31, 2021
- 9,189
- 16,128
Habari wandugu. Kwa sasa na maisha na uchumi wa dunia ni mgumu sana. Kila mtu anatakiwa kujibana. Hivyo na Serikali nayo inatakiwa kujibana. Ili kupunguza matumizi, inahitajika ukubwa wa serikali nao upungue. Leta maoni juu ya namna ya kupunguza ukubwa wa serikali. Mimi maoni yangu.
1. Cheo kimoja, kati ya waziri mkuu au makumu wa Rais kifutwe. Tumeona nchi inakuwa na waziri mkuu au makamu wa rais, si wote.
2. Unaibu waziri ufutwe. Kuna watu wengi wa kufanya kazi kutoka wizarani hadi huku chini. Hakuna haja ya hicho cheo.
3.......
1. Cheo kimoja, kati ya waziri mkuu au makumu wa Rais kifutwe. Tumeona nchi inakuwa na waziri mkuu au makamu wa rais, si wote.
2. Unaibu waziri ufutwe. Kuna watu wengi wa kufanya kazi kutoka wizarani hadi huku chini. Hakuna haja ya hicho cheo.
3.......