King Loto
JF-Expert Member
- Nov 28, 2018
- 1,581
- 1,357
Wakuu kwema nimejaribu kufanya kilimo cha nyanya kwa hii season mkoa wa Kilimanjaro nyanda za juu kimsingi huku wengi sio wakulima wa nyanya kama ilivyo kwa ukanda wa kusini wa Kilimanjaro.
Nimejaribu kupanda quater acre ya F1 aina ya VICTORY f1 na Jarrah F1, nusu nusu acre ntapanda mbegu ya kawaida ambayo ipo kitaluni,
tupeane mawazo kuhusu
Uandaaji wa shamba.
Mbegu bora.
Aina ya madawa.
Mbolea rafiki kwa kupandia na kukuzia nyanya.
Ni wakati gani soko Lina hali nzuri na tuuze vipi tupate faida nzuri.
Magonjwa shambulizi ya nyanya na mengine mengi kuhusu kiungo hichi cha mboga mboga. Kazi niliofanya hii hapa sample.
Uliza chochote kuhusu kilimo hichi tunaweza kutoa msaada. Karibuni tupeane uzoefu. Huo mmea wa mwisho nilizidisha dawa
Nimejaribu kupanda quater acre ya F1 aina ya VICTORY f1 na Jarrah F1, nusu nusu acre ntapanda mbegu ya kawaida ambayo ipo kitaluni,
tupeane mawazo kuhusu
Uandaaji wa shamba.
Mbegu bora.
Aina ya madawa.
Mbolea rafiki kwa kupandia na kukuzia nyanya.
Ni wakati gani soko Lina hali nzuri na tuuze vipi tupate faida nzuri.
Magonjwa shambulizi ya nyanya na mengine mengi kuhusu kiungo hichi cha mboga mboga. Kazi niliofanya hii hapa sample.
Uliza chochote kuhusu kilimo hichi tunaweza kutoa msaada. Karibuni tupeane uzoefu. Huo mmea wa mwisho nilizidisha dawa