Mchumia Rungu
JF-Expert Member
- Apr 26, 2013
- 1,438
- 826
Na aliyepita kwa rushwa ni lazima afikishwe mahakamani yeye pamoja na wajumbe. Kwasababu mtoa rushwa na anayepokea rushwa, wote ni wakosaji kisheria.Na hapo ndipo mchakato mzima wa kura za maoni unapo kuwa hauna maana. Sasa Kama maoni ya wengi yanaonesha wanamkubali zaidi mgombea fulani, kwa nini apitishwe ambaye hakubaliki na wengi? Kamati zilitakiwa ziangalie kama mchakato ulifuata taratibu walizo jiwekea mfano kuhakikisha mgombea hakupita kwa kutoa rushwa. Siyo kukataa chaguo la wengi kutokana na mtu mmoja kuamka vibaya siku hiyo.
Ni maoni tu ,sijalipwa,Makonda haepukiki ndugu
Hakushindwa ule ni mchakato wa mwanzo kabisa kuelekea teuzi na alishika nafasi pili,bado nae ni mshindi kwenye tatu bora
Kwanini msifanye kinyume chake??? Huyu bogus makonda mteueni awe balozi huko vietnamu au afghanstan au somaliaKama mwana ccm mkereketwa naomba uongozi wa juu hasa kamati kuu ya ccm, ambayo itahusika na uchujaji wa majina ya wagombea watakao peperusha bendera ya ccm kwenye uchaguzi mkuu October mwaka huu kwa nafasi ya ubunge jimbo la kigamboni yafuatayo
Nashauri na kupendekeza Jina la Makonda ndio lirudi na lipeperushe bendera ya ccm jimbo la kigamboni,ni kijana ambae anaijua vizuri Dar,fitina zote anazijua ,pia anaimudu vizuri kasi na maelekezo ya rais Magufuli,hii itakua ni chachu nzuri kwa utawala huu ikiwa Makonda atapata uteuzi kwa nafasi ya uwaziri,sipati picha huku Makonda kule Alexander Mnyeti.,Jaffo,Kigwa,Bashe,Bashungwa mchakamcha wa hatari.hakuna kulala,vijana wana ndoto na matamanio ya utumishi uliotukuka.
Baraza la mawaziri lijalo linahitaji vijana zaidi kukimbiza, ispokua kwa nafasi ya waziri mkuu, waziri wa fedha, waziri wa mambo ya nje na waziri wa sheria wawe watu wazima kutokana na unyeti wa wizara hizo.
Ndugulile ateuliwe kuwa balozi nchi yoyote huko ulaya ,na aachwe kipindi chote cha miaka mitano, asitumbuliwe,cha msingi atimize majukumu yake kwa ufanisi wa hali ya juu.
Ni maoni yangu tu,si lazima kuyazingatia
Yaani ccm inayosema itakuwa na wabunge 90%(zaidi ya wabunge mia tatu) bunge lijalo,inakosa waziri Hadi akatwe Ndungulile asiye na kashifa wala hatia ili Bashite mwenye vyeti vya kuokoteza apitishwe agombee ubunge then apewe uwaziri!!!!!!!!!!!!!!...SASA KWA TAARIFA YAKO TANZANIA TUNA MIKOA ISIYOZIDA 26,KITENDO CHA BASHITE KUPATA NAFASI YA UKUU WA MKOA KATI YA WATU MIL 50 KWAKE NI BAHATI KUBWA SANA MAANA YAKE HIYO NI NAFASI ADHIMU KABSA ALITAKIWA KUSHUKURU MUNGU NA KURIZIKA MAYO.Kama mwana ccm mkereketwa naomba uongozi wa juu hasa kamati kuu ya ccm, ambayo itahusika na uchujaji wa majina ya wagombea watakao peperusha bendera ya ccm kwenye uchaguzi mkuu October mwaka huu kwa nafasi ya ubunge jimbo la Kigamboni yafuatayo
Nashauri na kupendekeza Jina la Makonda ndio lirudi na lipeperushe bendera ya ccm jimbo la kigamboni, ni kijana ambae anaijua vizuri Dar, fitina zote anazijua, pia anaimudu vizuri kasi na maelekezo ya rais Magufuli, hii itakua ni chachu nzuri kwa utawala huu ikiwa Makonda atapata uteuzi kwa nafasi ya uwaziri, sipati picha huku Makonda kule Alexander Mnyeti, Jaffo, Kigwa, Bashe, Bashungwa mchakamcha wa hatari. Hakuna kulala, vijana wana ndoto na matamanio ya utumishi uliotukuka.
Baraza la mawaziri lijalo linahitaji vijana zaidi kukimbiza, isipokua kwa nafasi ya waziri mkuu, waziri wa fedha, waziri wa mambo ya nje na waziri wa sheria wawe watu wazima kutokana na unyeti wa wizara hizo.
Ndugulile ateuliwe kuwa balozi nchi yoyote huko Ulaya, na aachwe kipindi chote cha miaka mitano, asitumbuliwe, cha msingi atimize majukumu yake kwa ufanisi wa hali ya juu.
Ni maoni yangu tu, si lazima kuyazingatia
Basi alishindaNafasi za washindi huwa ni tatu, popote pale duniani ,hutaki acha
Au wachukue mbegu zake za kiume wakapandishe kwa dada zao na ndugu na jamaa zao ili kuendeleza generation zao,wajumbe wa taifa kigamboni wamemkataa huyu zero brain.Kwanini msifanye kinyume chake??? Huyu bogus makonda mteueni awe balozi huko vietnamu au afghanstan au somalia
Kwanza Makonda wa Nini,why him? Mtu YEYOTE anaye mtetea Makonda atakuwa mnufaika wa ule UDHALIMU alizozifanyia maiti zilizokuwa zinaelea baharini. REPORT YA CIA IMENENA DHAHILI KUWA MAKONDA NI MUUWAJI( ANANYIMA WATU HAKI YA KUISHI) HAYA YAMESEMWA NA POMPEO WAZIRI WA MAMBO NJE WA MAREKANI NA MKURUGENZI MSTAAFU WA CIA. OVERAsafishe tuhuma za vyeti kwanza kabla ya kufikiriwa kwenye nafasi yoyote. Anaifedhehesha serikali.
Hilo ndio kubwa na la kwanza.Asafishe tuhuma za vyeti kwanza kabla ya kufikiriwa kwenye nafasi yoyote. Anaifedhehesha serikali.
InawezekanaNaona Makonda ashaajiri vijana wanapiga drama mitandaoni.
Kama mwana ccm mkereketwa naomba uongozi wa juu hasa kamati kuu ya ccm, ambayo itahusika na uchujaji wa majina ya wagombea watakao peperusha bendera ya ccm kwenye uchaguzi mkuu October mwaka huu kwa nafasi ya ubunge jimbo la Kigamboni yafuatayo
Nashauri na kupendekeza Jina la Makonda ndio lirudi na lipeperushe bendera ya ccm jimbo la kigamboni, ni kijana ambae anaijua vizuri Dar, fitina zote anazijua, pia anaimudu vizuri kasi na maelekezo ya rais Magufuli, hii itakua ni chachu nzuri kwa utawala huu ikiwa Makonda atapata uteuzi kwa nafasi ya uwaziri, sipati picha huku Makonda kule Alexander Mnyeti, Jaffo, Kigwa, Bashe, Bashungwa mchakamcha wa hatari. Hakuna kulala, vijana wana ndoto na matamanio ya utumishi uliotukuka.
Baraza la mawaziri lijalo linahitaji vijana zaidi kukimbiza, isipokua kwa nafasi ya waziri mkuu, waziri wa fedha, waziri wa mambo ya nje na waziri wa sheria wawe watu wazima kutokana na unyeti wa wizara hizo.
Ndugulile ateuliwe kuwa balozi nchi yoyote huko Ulaya, na aachwe kipindi chote cha miaka mitano, asitumbuliwe, cha msingi atimize majukumu yake kwa ufanisi wa hali ya juu.
Ni maoni yangu tu, si lazima kuyazingatia
Mukiandika mrudie kusoma kabla hamjapost. Huyu alikaidi maelekezo ya JPM, labda kama JPM ana utani na sisi ndio jina lirudi vinginevyo ................ndio kajichinja.
Hakushindwa ule ni mchakato wa mwanzo kabisa kuelekea teuzi na alishika nafasi pili,bado nae ni mshindi kwenye tatu bora
Vipi Ndugulile na sakata la kutenguliwa?jiongeze mwamba Makonda ndio mgombea kigamboni