Uchaguzi 2020 Mapendekezo, maoni, ushauri kwa CC ya CCM kuelekea Uchaguzi Mkuu hususani Jimbo la Kigamboni

Uchaguzi 2020 Mapendekezo, maoni, ushauri kwa CC ya CCM kuelekea Uchaguzi Mkuu hususani Jimbo la Kigamboni

Kwanza Makonda wa Nini,why him? Mtu YEYOTE anaye mtetea Makonda atakuwa mnufaika wa ule UDHALIMU alizozifanyia maiti zilizokuwa zinaelea baharini. REPORT YA CIA IMENENA DHAHILI KUWA MAKONDA NI MUUWAJI( ANANYIMA WATU HAKI YA KUISHI) HAYA YAMESEMWA NA POMPEO WAZIRI WA MAMBO NJE WA MAREKANI NA MKURUGENZI MSTAAFU WA CIA. OVER
Rubbish rumours
 
Nashauri na kupendekeza Jina la Makonda ndio lirudi na lipeperushe bendera ya ccm jimbo la kigamboni, ni kijana ambae anaijua vizuri Dar, fitina zote anazijua, pia anaimudu vizuri kasi na maelekezo ya rais Magufuli, hii itakua ni chachu nzuri kwa utawala huu ikiwa Makonda atapata uteuzi kwa nafasi ya uwaziri, sipati picha huku Makonda kule Alexander Mnyeti, Jaffo, Kigwa, Bashe, Bashungwa mchakamcha wa hatari. Hakuna kulala, vijana wana ndoto na matamanio ya utumishi uliotukuka.
Sidhani kama una akili nzuri kichwani, nenda Hosp wakakutoe huyo funza kichwani!
Ndugulile amekuwa mbunge miaka 10 na ni mkazi wa miaka yote Kigamboni.
Ndugulile amedhihirisha tena kuwa anapendwa sana huko kwa kuwashinda wote.
Sasa unaposema apokonywe ushindi wake ni dhuluma na upungufu wa akili.
Mnyonge mnyongeni lakini haki yake mpeni.
 
Yaani ccm inayosema itakuwa na wabunge 90%(zaidi ya wabunge mia tatu) bunge lijalo,inakosa waziri Hadi akatwe Ndungulile asiye na kashifa wala hatia ili Bashite mwenye vyeti vya kuokoteza apitishwe agombee ubunge then apewe uwaziri!!!!!!!!!!!!!!...SASA KWA TAARIFA YAKO TANZANIA TUNA MIKOA ISIYOZIDA 26,KITENDO CHA BASHITE KUPATA NAFASI YA UKUU WA MKOA KATI YA WATU MIL 50 KWAKE NI BAHATI KUBWA SANA MAANA YAKE HIYO NI NAFASI ADHIMU KABSA ALITAKIWA KUSHUKURU MUNGU NA KURIZIKA MAYO.
Hujui kashfa ya Ndugulile mpaka akatenguliwa?,unapingana na mwajili wako hadharani?
 
Tunajua wauza unga walichangishana na kuingiza pesa chafu ili tu Makonda ashindwe
Haihitaji ajili ya ziada kujua Hilo,
Makonda na Ndugulile alietoka kufukuzwa kazi ya unaibu wazuri juzi Ni Makonda yupo juu sana kiutendaji
Niwekeeni Mambo mawili tu aliofanya Ndugulile akiwa mbunge na naibu wazuri.
1.Makonda kajenga Wadi ya wazazi na vitanda Amana
2.Makonda kajenga Wadi ya wazazi Mwananyamala
3.Makonda kajenga hospitali chanika
4.Makonda kafufua gari zaidi ya 20 za polisi na magereza
5.Makonda kajenga vyumba 450 vya madarasa na ofisi za walimu,hivyo kupandisha ufaulu kwa kiasi kikubwa
6.Makonda kasababisha zaidi ya watoto 1,000 wapate bima ya afya
7.Makonda kasaidia zaidi ya watoto 1,000 kupata matibabu ya Moto
8.Makonda kawapa yanga uwanja wa mazoezi

Hayo na mengine mengi Makonda kayafanya kwa kutumia ofisi na mengine kahamasisha wafanyabiashara mkoani kwake
Hapo ndipo utaona akili ya wajumbe wa kigamboni ilivyo mbovu kwa kukubali pesa na kumkataa mtu wa Maendeleo
Wajumbe wanatoa dira tu,vikao vya juu ndio vitaamua
Correct 100%
 
Kwanini msifanye kinyume chake??? Huyu bogus makonda mteueni awe balozi huko vietnamu au afghanstan au somalia
Huko watakwenda wazazi wako
 
Kama mwana ccm mkereketwa naomba uongozi wa juu hasa kamati kuu ya ccm, ambayo itahusika na uchujaji wa majina ya wagombea watakao peperusha bendera ya ccm kwenye uchaguzi mkuu October mwaka huu kwa nafasi ya ubunge jimbo la Kigamboni yafuatayo

Nashauri na kupendekeza Jina la Makonda ndio lirudi na lipeperushe bendera ya ccm jimbo la kigamboni, ni kijana ambae anaijua vizuri Dar, fitina zote anazijua, pia anaimudu vizuri kasi na maelekezo ya rais Magufuli, hii itakua ni chachu nzuri kwa utawala huu ikiwa Makonda atapata uteuzi kwa nafasi ya uwaziri, sipati picha huku Makonda kule Alexander Mnyeti, Jaffo, Kigwa, Bashe, Bashungwa mchakamcha wa hatari. Hakuna kulala, vijana wana ndoto na matamanio ya utumishi uliotukuka.

Baraza la mawaziri lijalo linahitaji vijana zaidi kukimbiza, isipokua kwa nafasi ya waziri mkuu, waziri wa fedha, waziri wa mambo ya nje na waziri wa sheria wawe watu wazima kutokana na unyeti wa wizara hizo.

Ndugulile ateuliwe kuwa balozi nchi yoyote huko Ulaya, na aachwe kipindi chote cha miaka mitano, asitumbuliwe, cha msingi atimize majukumu yake kwa ufanisi wa hali ya juu.

Ni maoni yangu tu, si lazima kuyazingatia
Kwahiyo wakifanya ivyo ndiyo demokrasia? huu ndiyo ujinga unaokirudi chama kuonekana kimechoka na wakifanya kwa matakwa yao kupitisha baadhi ya majina ndiyo mipasuko isiyo na sababu inatokea
 
Kama vipi basi tungeni sheria jimbo hilo liwakilishwe na wabunge wawili au mligawe mfano Kigamboni kaskazini na Kigamboni kusini ili na aliyeshindwa kura za maoni apate sababu ya kuwa mbunge.
 
Mie nashauri Makonda apewe ubalozi nchi za Ulaya mfano UK kwa Malkia kisha asitumbuliwe kwa miaka yote mitano, Ndungulile aendelee na ubunge wake. Kufanya hivyo kutamuwezesha Makonda atuletee wawekezaji wengi sana ktk sekta za biashara na madini kwa kuwa atakuwa karibu nao zaidi huko Ulaya na tayari alishaonesha nia hiyo ya kuleta wawekezaji alipokuwa RC
 
Mie nashauri Makonda apewe ubalozi nchi za Ulaya mfano UK kwa Malkia kisha asitumbuliwe kwa miaka yote mitano, Ndungulile aendelee na ubunge wake. Kufanya hivyo kutamuwezesha Makonda atuletee wawekezaji wengi sana ktk sekta za biashara na madini kwa kuwa atakuwa karibu nao zaidi huko Ulaya na tayari alishaonesha nia hiyo ya kuleta wawekezaji alipokuwa RC
Upande wa ubunge Ndugulile kashindwa ,ajaribu na ubalozi ,Makonda kama RC kaweza
 
Kama vipi basi tungeni sheria jimbo hilo liwakilishwe na wabunge wawili au mligawe mfano Kigamboni kaskazini na Kigamboni kusini ili na aliyeshindwa kura za maoni apate sababu ya kuwa mbunge.
Nani alikwambia kura za maoni ndio zinaamua mshindi?
 
Back
Top Bottom