demigod
JF-Expert Member
- Jan 2, 2015
- 8,292
- 15,250
Ninaambiwa hapa kuwa viongozi wanaumiza vichwa kutafuta namna sahihi ya kutimiza malengo na matakwa ya ripoti aliyo iacha Robertinho.
Coach Robertinho haioni nafasi ya Chama katika kikosi chake na mipango yake pale Simba kwa msimu ujao.
Moto unawaka kwenye vikao vyao vya ndani kuona ni namna gani wanaweza timiza matakwa ya kocha mzungu.
Je ni kweli kuwa kwa uwezo wa Chama wa msimu huu haumshawiahi mwalimu kumtumia katika michuano ya msimu ujao?
Coach Robertinho haioni nafasi ya Chama katika kikosi chake na mipango yake pale Simba kwa msimu ujao.
Moto unawaka kwenye vikao vyao vya ndani kuona ni namna gani wanaweza timiza matakwa ya kocha mzungu.
Je ni kweli kuwa kwa uwezo wa Chama wa msimu huu haumshawiahi mwalimu kumtumia katika michuano ya msimu ujao?