PakiJinja
JF-Expert Member
- Jan 16, 2012
- 11,689
- 25,848
Tena wahindi unakuta wana uraia wa Tanzania, India na Uingereza. Wanatumia uraia husika pale penye faida.Wewe masikini ndio utataabika. MATAJIRI wakubwa, Wahindi Wasomali na Wanasiasa wa Bongoland Wana uraia wa nchi nyingi tu.