Mapendekezo ya CCM kuhusu kwa tume ya katiba haya hapa ....


Katibu Mkuu wa UN hakufanya makosa kumtimua huyu Mpare kabla ya muda wake. Kumbe ni mtupu kiasi hiki??? Yaani anapewa UTUMBO ulio jaa kinyesi aupeleke sokoni naye bila kutafakari anakubali? Ni huo Urais anao taka apigiwe chapuo!!!

Heri ametusaidia kumjua jinsi alivyo mtupu!!
 
Tusipopata katiba ya Watz sasa, tutaendelea kuidai hadi tuipate.
 
Mapendekezo haya ndio yanafanywa CCM na wabunge wake kuhakikisha kuwa wana control ya Bunge la katiba ili kama wakina warioba hawatapitisha haya mapendekezo yao basi wayarejeshe kwa njia ya amendments kwenye Bunge la katiba.
 
Haki sawa na wengine
Ikiwa kuna mtu anaweza kutuwekea mapendekezo yote ya CCM na CHADEMA hapa jukwaani itatusaidia sana kuchambua na kutupa uwezo wa kuwelewa ni yapi yatachukuliwa na yapi yataachwa
 
...'kifungu, 62 Znz iruhusiwe kujiunga na Jumuiya za Kimataifa kama UN, FIFA .nk , kuwa ni ili kupungua kero za Muungano, ila hawataki Tanganyika iwepo'...
Pendekezo hili linatia wasiwasi wa kudumu kwa muungano. Kwa maana rahisi ni kuwa kuwe na nchi mbili huru (sovereign); moja ikiitwa Zanzibar yenye kiti Umoja wa Mataifa na mipaka inayoeleweka; ingine inaitwa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ambayo mipaka yake haijulikani (kwa sababu Zanzibar haiwezi kuwemo). Sijui kama hii JMT itaruhusiwa kuwa na kiti Umoja wa Mataifa!
 
Mapendekezo haya yanaonesha jinsi CCM walivyo "emptyheaded" hivi suala la kuoana ni hoja, mbona kuna wazungu alioolewa na watanzania au wazambia mimi nina wasiwasi na vyeti vyao naomba NECTA ifanye uchunguzi, VIONGOZI BOGAZI HAWATAKIWI KUONGOZA NCHI, kweli nimeamini kuwa 50 yearz hatujawahi kuwa na viongozi. KWELI CCM kichwa cha wendawazimu, wamechanganyikiwa hadi hawana point! lo! nawahurumia. POLENI CCM.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…