Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
Tunawaomba wadau wa soka wote wa ndani na nje ya nchi kuisaidia timu ya Yanga katika kipindi chake kigumu inachopitia , timu hii kiukweli haikuwa na kocha , Kaze hakuwa kocha , hajui chochote kuhusu soka na sidhani kama alifurahia kazi aliyopewa .
Tunawaomba wapenda soka hata kwa gharama zenu itafutieni yanga kocha mzuri wa soka kwa lengo la kuinua soka nchini Tanzania .
Tunawaomba wapenda soka hata kwa gharama zenu itafutieni yanga kocha mzuri wa soka kwa lengo la kuinua soka nchini Tanzania .