Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
unaweza kutuwekea hapa alichowahi kukifanya kwenye sokaUko sahihi ila sio kuwa kaze sio kocha, bali wachezaji wengi pale ni average.
Walivyompa kazi hawakulijua hilo?unaweza kutuwekea hapa alichowahi kukifanya kwenye soka
ushaishiwaWalivyompa kazi hawakulijua hilo?
Naona umekuwa ni kiumbe msahaulifu sana! Unawafahamu Ud Songo? Unafahamu chimbuko na umaarufu wa neno Khamsa Khamsa!!!!Azam au Namungo ndio zinastahili kuinuliwa lakini si utopolo.Utopolo haijawahi kuwa serious na soka.Kipindi wanashiriki kimataifa walikuwa wanafurahia kupanda ndege tu na si kufika mbali, Walikuwa wanafungwa 4G na akina Gormahia tena CAF confederation. Utopolo hata ikishuka daraja ni sawa tu na nitafurahi sana.
Pamoja na simba kufungwa khamsa tena na magiants lakini ilifanikiwa kutinga robo. Vile vile ilipotolewa na ud songo msimu wa juzi msimu huu haijarudia kosa. Sasa utopolo mlikuwa mnafungwa 4g na average team kama gormahia halafu mashabiki mnafurahia kupanda ndege tu.Naona umekuwa ni kiumbe msahaulifu sana! Unawafahamu Ud Songo? Unafahamu chimbuko na umaarufu wa neno Khamsa Khamsa!!!!
Hiyo KHamsa maana yake nini ?Naona umekuwa ni kiumbe msahaulifu sana! Unawafahamu Ud Songo? Unafahamu chimbuko na umaarufu wa neno Khamsa Khamsa!!!!
Mimi ni Msambaa na Mkatoliki mkuu. Sina mafungamano kabisa na Waarabu. Iwe ni khamsa, hamsa!!Hiyo KHamsa maana yake nini ?
Tafuta CV yake upitie.Au hujui CV Ni nini.🤣🤣unaweza kutuwekea hapa alichowahi kukifanya kwenye soka
Cedric Kaze alishawahi kupewa tuzo ya cocha bora wa Afrika ya mashariki na Kati.unaweza kutuwekea hapa alichowahi kukifanya kwenye soka
| Playing Accolades: | Coaching History: |
|
|