2.4 UMILIKI WA VYOMBO VYA HABARI[/B] (kusahihishwa)
Hivi sasa mmiliki mmoj a anaruhusiwa kuwa na zaidi ya chombo
kimoja cha habari. Aidha, baadhi ya vyombo vya habari
vimeanzishwa bila watendaji wenye taaluma. Wamiliki wengine
wa vyombo vya habari hawatoi mafunzo kazini kwa watumishi
wao. Vilevile, baadhi ya vituo vya redio na televisheni yinatumiwa
na wawekezaji na mashirika ya habari ya nje kueneza sera na
utamaduni wa mataifa ya nchi za nje na hivyo kuathiri mila na
utamaduni wetu. Baadhi ya wawekezaji hao wa nje pia
wanadhibiti maudhui ya baadhi ya vyombo vya habari hapa
nchini, na hivyo kuathiri mtazamo wa kizalendo wa wananchi.
2.4.1 Malengo ya Sera
•. Kuendelea kuruhusu mmiliki mmoja kuwa na zaidi ya chombo
kimoja cha habari;
•Kuvifanya vyombo vya habari vizingatie wajibu wa kutoa
huduma kwa manufaa ya umma;
•Kuhakikisha mmiliki wa chombo cha habari ana watendaji
wenyetaaluma; .
•Kuwahamasisha wamiliki wa vyonibo vya habari kuwaendeleza
watumishi wao kitaaluma;
•Kuhakikisha kwamba uendeshaji wa vyombo vya habari
unakuwa mikononi mwa Watanzania, na wageni wanaajiriwa tu
kama utaalam wao haupatikani nchini.
13
2.4.2 Maelekezo ya Sera
•Serikali iendelee kuwaruhusu wamiliki kuwa na zaidi ya
chombo kimoj a cha habari;
•Raia wa nchi za nje wanaweza kuwekeza katika chornbo cha
habari kwa ubia na raia, ill mradi hisa za M tanzania zisiwe
chini ya asilimia 51 kumwezesha kuongoza chombo hicho
wakati wote;.
•Uendeshaji wa vyombo vya habari utakuwa mikononi mwa
Watanzania;
•Wageni wataajiriwa tu kama utaalam wao unaohitajika
haupatikani nchini;
•Serikali iwahamasishe wawekezaji kuanzisha vyombo vya
habari katika maeneo ambayo hayavutii kibiashara;
•Chombo cha habari kisitumiwe kwa manufaa binafsi ya mrniliki
au mtendaji, bali kitatumiwa kwa maslahi ya umma;
•Chombo cha habari kiongozwe na maadili ya taaluma na ya
jamii hus1ka;
•Chombo cha habari kisitangaze habari kwa misingi ya ubaguzi
wa rangi, kabila, dini, jinsia au ulemavu au kuchochea
uhasama;
•Lugha zitakazotumiwa na vyombo vya habari hapa nchini ni
Kiswahili na Kiingereza.
2.3 UMILIKI WA VYOMBO VYA HABARI
Hivi sasa mmiliki mmoja anaruhusiwa kuwa na vyombo vingi vya
habari tena vya aina tofauti. Lakini athari zake zinaweza kuwa
mbaya, kwani chombo kinaweza kutumika kwa manufaa ya
mmiliki na ya biashara yake, kinaweza kuvuruga usawa katika
mashindano ya kibi kibiashara, na huweza kujiingiza ku ashara, kusaidia upande
saidia mmoja katika malumbano ya kisiasa kisiasa.
Aidha, baadhi ya vyomba vya
habari vimeanzishwa bila watendaji wenye taaluma. Wamiliki
wengine wa vyamba vya habari hawatoi mafunzo kazini kwa
watumishi wao. Vilevile, baadhi ya vitua vya redia na televisheni
vinatumiwa na wawekezaji na mashirika ya habari ya nje kueneza
sera na utamaduni wa mataifa ya nchi za nje na hivyo kuathiri
mila na utamaduni wetu. Baadhi ya wawekezaji hao wa nje pia
14
wanadhibiti maudhui ya baadhi ya vyombo vya habari hapa
nchini, na hivyo kuathiri mtazamo wa kizalendo wa wananchi.
2.3.1 Malengo ya Sera
•Kuweka kikomo cha vyombo vya haba habari mtu mmoja
ri atakavyoruhusiwa kumi kumiliki. iki.
•Kuvifanya vyombo vya habari vizingatie wajibu wa kutoa
huduma kwa manufaa ya umma;
•Kuhakikisha mmiliki wa chombo cha habari ana watendaji
wenye taaluma;
•Kuwahamasisha wamiliki wa vyombo vya habari kuwaendeleza
watumishi wao kitaaluma;
•Kuhakikisha kwamba uendeshaji wa vyombo vya habari
unakuwa mikononi mwa Watanzania, na wageni wanaajiriwa tu
kama utaalam wao haupatikani nchini.
2.3.2 Maelekezo ya Sera
elekezo •SerikaZi imruhusu mtu mmoja kumiZiki aina moja tu ya
chombo ch cha habari, kama ni magazeti, au redio au teZevisheni,
a na siyo vyote kwa wakati mmoja. (MmiZiki aZiyenavyo sasa
apewe muda wa miaka mitano kuuza hisa~za vyombo vyake
vingine).
•Mwekezaji wa nje katika chombo cha habari atawekeza
kufuatana na sera hii na shena inayoitekeleza, siyo iZe ya Kituo
cha Uwekezaji cha Tanzania (TIC).
•Raia wa nchi za nje wanaweza kuwekeza katika chombo cha
habari kwa ubia na raia, ili mradi hisa za Mtanzania zisiwe chini
ya asilimia 51 kumwezesha kuongoza chombo hicho wakati
wote; .
•Uendeshaji wa vyombo vya habari Jtakuwa mikononi mwa
Watanzania;
•Wageni wataajiriwa tu kama utaalam wao unaohitajika
haupatikani nchini;
15
•Serikali iwahamasishe wawekezaji kuanzisha vyombo vya
habari katika maeneo ambayo hayavutii kibiashara;
•Chombo cha habari kisitumiwe kwa manufaa bin.afsi ya
mmiWd au mtendaji, bali kitatumiwa kwa maslahi ya umma;
•Chombo cha habari kiongozwe na maadili ya taalurna na ya
jamii husika;
•Chombo cha habari kisitangaze habari kwa misingi ya ubaguzi
wa rangi, kabila, dini, jinsia au ulemavu au kuchochea
uhasama;
•Lugha zitakazotumiwa na vyombo vya habari hapa nchini ni
Kiswahili na Kiingereza.