Mapenzi bila kufanya mapenzi hata hainogi....!!!

dah aya maneno yangekua ni kweli aisee, naona miujiza tu
 
Cha mitandaoni ......Tatizo tukitangaza kupigana miti mnaanza mizinga dawa yenu tunawakaushia tu mpaka mjiongeze mtoe wenyewe bure
Come on mwanaume wa kweli haogopi mzinga, be a man!!!!
Leo ni swala la kuchangamsha mahusiano kwa kupiga miti achana na mizinga, mzinga mzinga as if unaweza kutmba hizo hela zako
 
Come on mwanaume wa kweli haogopi mzinga, be a man!!!!
Leo ni swala la kuchangamsha mahusiano kwa kupiga miti achana na mizinga, mzinga mzinga as if unaweza kutmba hizo hela zako
Habari za kupigana miti kiholela bila nidhamu na kuheshimiana mm siungi mkono hoja @ cha mitandaoni
 
Njoo nikupige miti
 
Mimi napenda tufanye baada ya ndoa ndio inapendeza zaidi na kunoga zaidi [emoji23]
Okay ni sawa pia, kwakua ndivyo upendavyo ila eti huwa nawaza unasubiri ndoa afu unakuta mwenzio hana hivi itakuaje? Nlisoma msg moja mdada anaomba ushauri baada ya ndoa kakuta Mme hana pmbu
 
Hua mnakua kama hamtaki kabisa ukuni yani hamtaki kabisaa basi na sisi tunawaacha
 
Umenena vyema kabsa

Mimi mwanamke akija geto alafu Ana jifanya sister du hata kuguswa hataki huwa na mwamba ukwel Kuwa mimi sio kaka ake na yeye sio Dada angu kama huoni umuhimu wa papuchi na dushe na mwamba aondoke tu na hapo ndo mwisho wa mawasiliano yetu

Sipend kabsa mwanamke anaejifanya mjinga kwenye Mapenz
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…