Mapenzi bila kufanya mapenzi hata hainogi....!!!

Inategemea na mwonekano wako ,kuna wanawake wa kupenzika na kungonoka
 
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] Ila ulitakiwa kusoma nyakati. Angalau profile yake ya nyuma afu ungejua jinsi ya kumsaidia!
Nlikua na akili za kisichana sikuyawaza hayo nlichukulia poa
 
Inategemeana mkuu ,kuna mademu wengine wana sura kama za bibi yao,japo wamebarikiwa vinginevyo including sauti na caring
 
Mimi ndo maana sitaki kuzoeana na Watoto wa kike maana nikikuona unakuja kuja tu lazima ntongoze maana sina jingine! Urafiki wa kaka na dada kwangu ilikuwa mwiko maana ntaomba tuuu. Bahati nzuri nishaoa lkn huwa nawacheeeeeki
 
Ukiona mtu wa jinsi hiyo ujue hajiamini, lakini wengine mkuyati kwanza kiss baadae kwa ajili ya kupongezana kwa kazi
 
Miaka miwili hamjachojoana vyupi bado mnaitana wapenzi?
 
Nimekuelewa sana maana iman bila matendo hiyo imekufa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…