marandu2010
JF-Expert Member
- Aug 7, 2010
- 1,201
- 446
It seems you don't love her....! Nawe ungechukuwa hiyo namba na uwe unamtrace kupitia namba hiyohiyo...! Au ungefunga safari ukakutane naye, au ungemwezesha aje ulipo...! Hata hivyo wewe unaonekana kama vile uko tayari kwa lolote, lakini tamaa zinakuandama...! Yaani unataka kummega lakini umekuwa occupied already...! Otherwise, Let the nature take place...!
Siku hizi kuna simu za kichina za mpaka 15000 acha ubahili wewe mnunulie uwe unamtumia voucher na akiishiwa akubeep kiurahisi just very simple we usubiri mpaka aombe simu abeep? acha hizo bwana
Nina msichana ambaye kwa mwaka mmoja hatujawasiliana,,,baada ya mwaka mmoja akanibip na kuniambia mawazo yake yako palepale..
Kumbuka hatujawasiliana kwa mwaka mzima,,kutokana na yeye kuwa hana simu,,na mimi siku zote ili nibidi anibip ili nimpigie tuwasiliane,,,lakini mwaka mzima ulipita hajanibip...baada ya mwaka mmoja akaniambia mawazo YAKE yako palepale,,hajabadili mawazo...
Baada ya kuzuNGUmza naye hapo,,sasa imepita miezi saba hajanibip tena,,sasa najiuliza kuna mapenzi kweli kwa ufinyu huu wa mawasiliano.????? Na nifanyeje???
aaaagh, acha wanafunzi wapate elimu bana badala ya kuwapotezea mwelekeoOkey,,yeye yuko shule,na huko shule simu haziruhusiwi kabisa wala harusiwi mtu kumtembelea labda baba yake tu tena kwa masharti makubwa,,akaniambia atakuwa ananishtua yeye na sio mimi kipindi cha likizo,,lakini hajatekeleza ahadi hiyo,,ninajaribu kumtafuta kwa namba aliyokuwa anatumia lakini hapatikani,na anaishi mkoa mwingine,na siwezi kuonana naye hata nikienda kwao kwa sababu ni geti kali sana,sasa imepita miezi minane.hiyo ndiyo hali halisi..
Mimi ninampenda huyu binti,,na ninajitahidi kwa njia mbalimbali kumtafuta,,njia pekee ninayoitegemea ni hiyo simu itakapopatikana,,na labda likizo ya mwezi wa kumi na moja ikiwa atanitafuta...lakini kukaa muda mrefu bila kunitafuta,,nina mashaka sana...japo mimi ninaendelea kutulia kumsubiri,,lakini mawasiliano finyu kiasi hiki yananitia mashaka..
Asante wote kwa michango yenu mizuri.