marandu2010
JF-Expert Member
- Aug 7, 2010
- 1,201
- 446
Nina msichana ambaye kwa mwaka mmoja hatujawasiliana,,,baada ya mwaka mmoja akanibip na kuniambia mawazo yake yako palepale..
Kumbuka hatujawasiliana kwa mwaka mzima,,kutokana na yeye kuwa hana simu,,na mimi siku zote ili nibidi anibip ili nimpigie tuwasiliane,,,lakini mwaka mzima ulipita hajanibip...baada ya mwaka mmoja akaniambia mawazo YAKE yako palepale,,hajabadili mawazo...
Baada ya kuzuNGUmza naye hapo,,sasa imepita miezi saba hajanibip tena,,sasa najiuliza kuna mapenzi kweli kwa ufinyu huu wa mawasiliano.????? Na nifanyeje???
Kumbuka hatujawasiliana kwa mwaka mzima,,kutokana na yeye kuwa hana simu,,na mimi siku zote ili nibidi anibip ili nimpigie tuwasiliane,,,lakini mwaka mzima ulipita hajanibip...baada ya mwaka mmoja akaniambia mawazo YAKE yako palepale,,hajabadili mawazo...
Baada ya kuzuNGUmza naye hapo,,sasa imepita miezi saba hajanibip tena,,sasa najiuliza kuna mapenzi kweli kwa ufinyu huu wa mawasiliano.????? Na nifanyeje???