Pdidy
JF-Expert Member
- Nov 22, 2007
- 57,951
- 32,619
Wajameni nina kaka yangu ana mchumba wake wana miaka mitatu sasa kila binti akiambiwa tuoane anadai mapema sana...baya ama zuri kakangu anasema kila siku amekuwa akililia tunda bila mafanikio mpaka akasema akipata mtoto lazima amwite tunda...sasa hivi amekata tamaa kabisa na mapenzi na kufikia kuhisi beer ni faraja ya mafanikio la hasha.....nikasema niulize je yawezekana kukaamiaka yote bila ku do......
Nawapongeza kwa hili na jua jf wako 100/100
Kwangu mimi huwa nilikuwa na shangaa kabla ya kufunga ndoa ukiingia n kabinti kanadai mi siwezi ntaumia lakini anaingia mpaka guest ndani,...sasa wewe si mchunaji kweli??
karibu utoe maoni yako
Nawapongeza kwa hili na jua jf wako 100/100
Kwangu mimi huwa nilikuwa na shangaa kabla ya kufunga ndoa ukiingia n kabinti kanadai mi siwezi ntaumia lakini anaingia mpaka guest ndani,...sasa wewe si mchunaji kweli??
karibu utoe maoni yako