Lizzy nawe bwana unani haribia weekend khaaa
we ngoja niwe bored ntakusumbua mpaka uoe rangi zote..
mmmhhhhh
have a good one..
dear tusi hiloHata ya kisanii ni bora kuliko kukosa kabisa ehhh?
ukisema ukweli utaonekana mdhambiNdo yaliyotawala siku hizi mpendwa.....taka usitaki wengi ni usanii tu unawaongoza!
......... '.. killing me softlyKama ukweli wenyewe hauendani na mapenzi ya kweli lazima kuwe na mshangao!
Chauro atanifanya nipitie zahanati jioni manake amehiti mpaka components za blood chemistry yanguHahahahha.....let me give you a break....:bange:
Ndo yaliyotawala siku hizi mpendwa.....taka usitaki wengi ni usanii tu unawaongoza!
Chauro atanifanya nipitie zahanati jioni manake amehiti mpaka components za blood chemistry yangu
Lizzy ingia kwanza kwenye ndoa kwanza,
ndo waweza kuconclude kama ni usanii ama la,
ukiwa nje ni vigumu kujua,
usidanganyike sana na kila kinachotazamwa na macho yako!!!!!!!!!!!,
marytina was banned,dead and gonemarytina na merytina sijui ni ndugu hawa?
Kwahiyo wenye mahusiano yasiyo ndoa hatuna nafasi ya kujua usanii na ukweli??
Wenye ndoa wenyewe ndo hao kila siku hawaishi kuuliza kama wakumbushie na wa zamani au la!!!Mpaka hapa no thanks....bora nibaki sijui tu!
marytina was banned,dead and gone
merytina ni mzimu wa marytina
ile sredi kwa sasa naiogopakaribu sana duniani,
nilikumis mama, naona mzimu wako umekuja,
na taste ya kutaka wazungu sasa,
wewe kweli kiboko!!!!
bold:sina la kusemaNaamini nilichopitia...nacho ni usanii mtupu!