Mapenzi gani haya baada ya kuolewa

Mapenzi gani haya baada ya kuolewa

Grader

JF-Expert Member
Joined
Feb 23, 2009
Posts
445
Reaction score
64
Kuna jamaa yangu mmoja ananiomba ushauri,nikaona bora nami nipate ushauri wenu ili tumsaidie;
Huyu jamaa ameoa yapata 2yrs now lakini huyu jamaa na mke wote wanafanya kazi posta-Dsm wanakaa Kitunda. Kwa sababu usafiri ni shida inawalazimu kuamka alfajiri saa 10 na mke huwa wa mwisho kurudi nyumbani baada ya kazi saa 4 usiku.
Huyu mwanaume akiulizia unyumba yule mwanamke anampangia ratiba wakutane jumapili na sharti ni mara moja tu wastani ni mara 52 a year.
Sasa kwa sababu yule jamaa ni rijali hatosheki, tutamsaidiaje kimawazo?
 
Mwambie amfanyie kitu kimoja mkewe jamaa akae kama miezi miwili hivi bila kuomba huo unyumba halafu mke wake akimuuliza mbona siku hizi huhitaji tendo la ndoa jamaa amjibu kwa kifupi tu, sijisikii hapo lazima wife atafura sasa akifura jamaa ndio amuweke chini amueleze A to Z kuwa yeye hatosheki na hiyo onja onja kana kwamba hajaoa, na jamaa hapo ndio apendekeze kabisa kuwa mimi nataka kila siku na ikiwezekana na asubuhi kabla hatujahamka hiyo saa kumi tushtue kimoja kujiweka fresh na mikimiki ya kukamata daldala kama wanatumia usafiri huo au kukamata usukani kama wana gari zao binafsi.
Simple like that jamaa anakuwa anafaidi matunda ya ndoa
Au nimekosea wajameni?
 
Mwambie amfanyie kitu kimoja mkewe jamaa akae kama miezi miwili hivi bila kuomba huo unyumba halafu mke wake akimuuliza mbona siku hizi huhitaji tendo la ndoa jamaa amjibu kwa kifupi tu, sijisikii hapo lazima wife atafura sasa akifura jamaa ndio amuweke chini amueleze A to Z kuwa yeye hatosheki na hiyo onja onja kana kwamba hajaoa, na jamaa hapo ndio apendekeze kabisa kuwa mimi nataka kila siku na ikiwezekana na asubuhi kabla hatujahamka hiyo saa kumi tushtue kimoja kujiweka fresh na mikimiki ya kukamata daldala kama wanatumia usafiri huo au kukamata usukani kama wana gari zao binafsi.
Simple like that jamaa anakuwa anafaidi matunda ya ndoa
Au nimekosea wajameni?

we Sipo wajenga ama wabomoa..huo ndio utakuwa the beginning of the end...kama mama amechoka baada ya kuamka tangia 10 asubuhi mpaka 10usiku, that woman is physically, emotionally and psychologically tired. they need to talk waelewane. sio vizuri pia kumpimia kama dawa...lakini pia hiyo ya kila siku duhhhhh...hivi kwani ni distance kiasi gani kutoka huko posta to where they live??
 
Kuna jamaa yangu mmoja ananiomba ushauri,nikaona bora nami nipate ushauri wenu ili tumsaidie;
Huyu jamaa ameoa yapata 2yrs now lakini huyu jamaa na mke wote wanafanya kazi posta-Dsm wanakaa Kitunda. Kwa sababu usafiri ni shida inawalazimu kuamka alfajiri saa 10 na mke huwa wa mwisho kurudi nyumbani baada ya kazi saa 4 usiku.
Huyu mwanaume akiulizia unyumba yule mwanamke anampangia ratiba wakutane jumapili na sharti ni mara moja tu wastani ni mara 52 a year.
Sasa kwa sababu yule jamaa ni rijali hatosheki, tutamsaidiaje kimawazo?

Naamini walau mara tatu kwa juma ni reasonable kwa wanandoa.Jamaa amweleze mamaa kutokuridhishwa kwake na ratiba ya unyumba.Hopefully wapo home jumamosi na jumapili kama ndivyo isiwe tabu kujinafasi.Katikati ya wiki japo kamoja tu hata hotelini ikibidi ile jioni then haoo wote waelekee home.

Honestly uchovu wa kazi na mikikimikiki ya usafiri wa Dar(hasa kwa sie tusio unafiri binafsi) unakata stimu ya malovee kinoma wakuu.Nimeoa,ni ngumu kufanya kila siku.
 
Kuna jamaa yangu mmoja ananiomba ushauri,nikaona bora nami nipate ushauri wenu ili tumsaidie;
Huyu jamaa ameoa yapata 2yrs now lakini huyu jamaa na mke wote wanafanya kazi posta-Dsm wanakaa Kitunda. Kwa sababu usafiri ni shida inawalazimu kuamka alfajiri saa 10 na mke huwa wa mwisho kurudi nyumbani baada ya kazi saa 4 usiku.
Huyu mwanaume akiulizia unyumba yule mwanamke anampangia ratiba wakutane jumapili na sharti ni mara moja tu wastani ni mara 52 a year.
Sasa kwa sababu yule jamaa ni rijali hatosheki, tutamsaidiaje kimawazo?

...atafute nyumba maeneo ya karibu, kama hilo haliwezekani ajitahidi kukopa japo usafiri kumsaidia mamaa...

Iwapo hata hilo haliwezekani, basi mume awe mstahmilivu, jumapili sio mbali bana, kuna watu wanaishi miji tofauti wanavumiliana...
 
sio siri huyo mama anachoka kwa kweli, maana kuamka alfajiri hivyo na usiku ndio anarudi home. Mumewe inabidi amuelewe mwenzio, kweli wakubaliane angalau wakutane kimwili weekend basi jmosi na jpili .Nadhani wafanyakazi wa posta huwa hawafanyi kazi siku hizo za weekend.
 
sio siri huyo mama anachoka kwa kweli, maana kuamka alfajiri hivyo na usiku ndio anarudi home. Mumewe inabidi amuelewe mwenzio, kweli wakubaliane angalau wakutane kimwili weekend basi jmosi na jpili .Nadhani wafanyakazi wa posta huwa hawafanyi kazi siku hizo za weekend.


na waandike MOU kabisa🙄..... actually they will have something to look forward to kila wiki!😀
naona kutakuwa hakuna kazi nyingine wikiendi basi......mmmmmmm dont i envy them
 
Back
Top Bottom