Money Penny
JF-Expert Member
- Jun 20, 2016
- 17,694
- 17,131
Mzima kabisa, NI mzaramoπππ‘Ujumbe mzuri, ila huyo mjumbe mwenyewe mzima kweli????
Eti mabega yamekusimamaπππππKama maiti iliyosuswa na ndugu[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Eti mabega yamekusimama[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Hahahaha jaman huyu Kaka NI sheedahππ[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]kama ngazi
Sasa unalia Lia nini we mwanaume, hicho limekutokaππππWaliotutangulia waliacha CV zao google
Money Penny Eeh tafadhari ebu tuombe msamaha wazaramo, huyo kuna kitu hakijatimia kwenye uanaume wake.Mzima kabisa, NI mzaramoπππ‘
Sawa Kaka WA kizaramoKuna vitu havifundishwi!!wew nan alikufundisha kukata mauno wakat wa mtanange,au kutoa miguno mwanana na sio mayowe?#obheja
Mwenzio Yuko STRAIGH, au unataka akuchambe?!πππMoney Penny Eeh tafadhari ebu tuombe msamaha wazaramo, huyo kuna kitu hakijatimia kwenye uanaume wake.
Wa Straight hawapo hivyo aisee π , ngoja tumuachie mwenyewe ila.Mwenzio Yuko STRAIGH, au unataka akuchambe?!πππ
Wa Straight hawapo hivyo aisee π , ngoja tumuachie mwenyewe ila.
Atuache, na asitukaripie kabisa.Ila anasema msigoogle Mapenzi
Anawafunda wanaumeπππAtuache, na asitukaripie kabisa.
Wewe ndio babu au?!Wazaramo wote mapepe tu dishi limeyumba
Tuombeni babu zenu tuwaondolee laaana
Ngwa'angaluka!