Mapenzi hayana umri

afadhali huyo mama kuliko yule mganga wa Katavi aliyewapaka mafuta mwili mzima watoto 6 kisha kuwaingilia kinyume na maumbile
 
Ila inasikitisha sana aisee.
Sipati picha kama angekuwa ni mwanaume amerukwa akili akaoa kabinti ka miaka 9 tena kwa harusi.
Dunia nzima ingepiga kelele kulaani, by now mtu angekuwa Lock up.
 
Sipati picha kama angekuwa ni mwanaume amerukwa akili akaoa kabinti ka miaka 9 tena kwa harusi.
Dunia nzima ingepiga kelele kulaani, by now mtu angekuwa Lock up.
Kweli kabisa eti Mkuu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…