Mapenzi: Jinsi ya kumtongoza mwanamke unayemtaka na ukampata kwa urahisi

Amekosea hajatoa angalizo kuwa maelezo yake yanatuhusu sisi wa Mjini tu.
 
Hapo umenfundisha kujumlisha kwa kutumia njia ya kutoa ukipitia kuzidisha na kupata jibu kwa njia ya kugawanya....[emoji848][emoji848][emoji848][emoji848]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ndo nilichomaanisha hiki

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Yani technique za zaman sana mkuu kama huu uzi ni mpya basi uko nyuma sana, yaani we ukitumia hiyo njia yako hiyo siku unaomba namba, akikupa basi jioni yake nakuwa nishafanya yangu.
 
Haya niliyoeleza hapa ni above your understanding. We did these back in days when you were not even born. Na wanawake decent ndo hatua zinazofanyika.nasisitiza DECENT na GENTLEMEN ndo hufanya hivi. Type zako endelea na hatua nyingine as i have shown down there.haya mambo ya ngoswe huwezi kujua.

Tamthilia za kifilipino zimewaharibu sana wanaume wa kizazi hiki.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Type ya wanawake wako ni hupaswi kufuata mbinu hizi. Nlishatoa ANGALIZO kama una Date wanawake nyatunyatu au macho kumchuzi hizi hatua 10 utapoteza muda. Hizi nazungumzia wanawake classic siyo hizo type zenu.

yan technique za zaman sana mkuu kama huu uzi ni mpya basi uko nyuma sana ...yani we ukitumia hiyo njia yako hiyo siku unaomba namba ....akikupa basi jioni yake nakuwa nishafanya yangu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…