Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
tupe na mbinu kwa wale wa ''naangusage tu mi sipigi kelele masambi yako mwenyewe''
Acha hii tabia ya ku-quote thread ndefu kama hizi...Kwa mada zako. Wewe kwa kweli ni mhenga uliyefuzu.
kwani ni biashara jamany?Hahahaaa sasa unataka bure kwani ni msaada wa serikali huo?
Pesa utanunua penzi lakini sio upendo
hao wa hela ni wale wa short time tu.wale wa maisha hatutangulizagi pesa
Ujue huwezi kuombwa hela kama unaonekana una nia na malengo mazuri kama unaonekana unataka kusuuza vyombo ndio unachunwa kwanza ili angalau akanunue hata wanja jamanikwani ni biashara jamany?
Kwani mwanamme akitaka kusuuza vyombo, mwanamke hapati raha? Si wote wanafurahia? yaani raha upate na pesa juu ulipwe kwa kupata raha.K
Ujue huwezi kuombwa hela kama unaonekana una nia na malengo mazuri kama unaonekana unataka kusuuza vyombo ndio unachunwa kwanza ili angalau akanunue hata wanja jamani
Bando niweke mimi, cha kupost unipangie wewe!!!Acha hii tabia ya ku-quote thread ndefu kama hizi...