Mapenzi kama Njaa...!


mnh...! hujui kiasi gani umeniumiza.


Mapenzi ni kama njaa?

Napenda kubisha kwa nguvu zangu zote.........

Njaa ni kitu kingine na mapenzi ni jambo jingine..... Ntafafanua ikihitajika.

ngoja uyakose kama hujachakura majalalani...!
'Mwenye Shibe hamjui mwenye njaa!'
 
MwanajamiiOne upoo wapi nikuachie chaki na ubao hapa?

Siku njema.

..........We Mbu naona kweli wantafutia Ban humu ndani.....huyo mwandani wako mie najua ni mod sasa mh! (Wifi mwaya huyu kakangu anataka kukurusha tu roho hapa)

haya nimekuja nimesikitishwa na hii picha jamani ama kweli./......... mapenzi ni njaa Mbu kaka wal ahujakosea.

Hivi nakumbuka kulikuwaga na lile swagga la..nikikuona hushiba, na niisikiapo sauti yako furaha hujaa moyoni.....
Ushikwapo na mapenzi wezashindwa kula, kunywa na hata kulala
Yaacheni yaitwe mapenzi.
 
Reactions: Mbu

ngoja uyakose kama hujachakura majalalani...!
'Mwenye Shibe hamjui mwenye njaa!'


halafu hii ya kuchakura majalalani hii, lo hatari kweli,
kuna wakati unaweza usiamini kabisa kama wewe,
ndo ulipita kwenye hilo jalala,kama ukibahatika kuliona mchana kweupe lol...

njaa kweli nuksi.............
 
yaani ulijuaje mapenzi kama njaa,aisee inaonyesha unapenda sana,bt ni kweli kama cku ikipita bila kumuona au kuongea nae japo ata kwenye cm unakuwa kama unataka kushiba,nimekukubali m2 wangu
 
Hivi ni vitu viwiwli tofauti.Unaweza kosa mapenzi kutoka kwa wanadamu na ukaendelea kuishi,lakini ukikosa chakula utakufa.Mie nadhani ufananishe na kiu.
 
Utapotafakari utaelewa.
Penzi ni njaa,
Njaa sio penzi.
Mapenzi ni kama njaa.

Dont judge a book by its cover.
Ukiichambua topik hii kwa mtazamo
Wa picha utamwona mtoto mwenye njaa.

Chambua ndani zaidi.
Mapenzi ni nini, yanakugusa vipi
Unayaelewaje. Unayahisije, wakati gani,
Kwa nani? Je, ayakosae kapenda?

Mapenzi kama njaa.
 
Originally Posted by Mbu View Post ...amekosa mapenzi huyo! ...watu hudhani mapenzi ni suruale na sketi tu.
hapa sasa nimekuelewa maana watu tushawaza vile vitu vyetu
Unaonaje akiliwazwa nje ya suruali na siketi tu.......................itakuwa murua zaidi...........
 
Mapenzi sio kama njaa..kwani mapenzi unaweza kujimalizia haja zako wewe mwenyewe.. Lakini njaa huwezi kujila mwenyewe..

Unajipenda vipi wewe mwenyewe??
Nadhani unachanganya mambo.MAPENZI SIYO "HAJA"....
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…